Heeee, mbona umesema hadi ukanipa hamu, halafu wewe shauri zako.This is what I wanted to say as well baby; umemaliza and sina haja ya kuendelea zaidi. KWa ufupi ndicho ambacho nyie wanawake mnataka, recoordination, that is what u need/she needed
Yani wewe subiri siku ugunduwe mkeo kuna msela anuniwi anagonga mashine hiyo ndio utazinduka usingizini.Matola unamaanisha nirudie enzi za kuwa bize na michepuko as solution?
Leo nawahi kurudi baby, usijali nipo busy kutafuta pesa za kina Jr.Heeee, mbona umesema hadi ukanipa hamu, halafu wewe shauri zako.
Sijajuwa tatizo huwa mnakimbilia kuoa au ni nini hasa? Akili hazijakomaa au nkiki?Sasa mkuu kama una chapa nje na mke anachapwa nje what is the marriage life then?
Mada kama hii imemtokea puani ndugu yetu NazjazWana MMU,
Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.
Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.
Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.
Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.
Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.
Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?
(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)
NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Mke wa mtu SUMU, elewa hivyo mkuuM PM tu myamalize huenda na yeye ana Hali mbaya
Huntsman,
Ni changamoto za maisha . Ila usiwaze wala kufikiria habari ya mchepuko. Tatizo haliwi solved na tatizo .
(1) Kina mama wana tabia ya kuongozwa na hormones na feelings . Ndio wiring yao ilivyo. Pengine kuna neno kali au aina ya huduma hukusema basi ameshaconclude kuwa humpendi. Kosa lake kubwa ni kusema hamna tatizo. Mkuu, kaa nae au toka nae mueleze umuhimu wa open communication, umuhimu wa kuambiana mmoja anapokea na effects za kutotoa ushirikiano kwenye maongezi
(2)Tambua kuwa tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume linakuwa viewed differently. To most men its a biological /physocal neeed kwa mwanamke ni emotinal/ pychological need. Jinsi mnavyoendesha mipango yenu, maongezi yenu yanachangia kiasi kikubwa kuwa mwanamke kuenjoy au kukokuenjoy tendo zima. Mfano katika mipango yenu mawazo yake hayasikilizwi au humpi sababu kwa nini mawazo yake hayafai . Au kuna jambo anaomba na anajua lipo ndani ya uwezo wako na hulifanyi wala humwambii kwa nini hulifanyi au unapangaje. Kingine kama kuna mambo unatumia ubabe/ nguvu ili yafanyike ilhali yeye hajaridhika nayo. Simaanishi kila wakati ufanye anachokataka yeye, la hasha ila kujadiliana na kureason naye kwa nini unaamini hoja yako ina nguvu.
Kama mahusiano yenu ya nje hayana mvuto amini kabisa mwanamke hawezi kuwa na hamu na wewe . Akiwa nayo anajoforce. Utaingia kwenye mawazo mabaya kuwa anachepuka kumbe ana nyongo ya kutomjali , kutompenda, kutomshirikisha mambo ya watoto, fedha, mipango ya familia .
Ufanye nini: Kama unahisi hili ni moja ya tatizo, basi jenga desturi ya kuongea nae, kumshirikisha na kusikia mawazo yake (si lazima utekeleze bali mpe nafasi atoe mchango). Pia jenga desturi ya kuwa nae na kutoka kama wanandoa -sio kutoka na watoto bali nyie wawili. Sio msubiri kualikwa na watu kwenye shughuli zao bali nyie wawili
(3) Madabiliko ya mwili: Sijui umri wenu ila isije kuwa mkeo anasumbuliwa na hormonal imbalance inayepelekea kupunguza hamu ya tendo la ndoa na kuwa na hasira. All in all vyote hivi havihitimishi yeye kukujibu vibaya , ila msamehe tu na rejea namba moja, ongea nae na mueleze madhara ya kutokuwa tayari kuongea na kueleza hisia zako.
Katika yote mwombe Mungu ili umoja wenu uzidi kuimarika , binadamu tu dhaifu ni kwa neema za Mungu tu tunaweza .
Siyo kila sumu inauwa bhana.Mke wa mtu SUMU, elewa hivyo mkuu
Kuna vitu vya ku share, sio hapo. Halafu ujue nina mpango wa kwenda kwa babu anipe password maanake vijana hawa hawanaga maana bwana, wengine tunawekeza, waoa wanavuna tu.Siyo kila sumu inauwa bhana.
mkuu kumbe ulishakua mchepukaji?Yaani ile tumemaliza kuomba usiku akakimbilia kitandani tena ukutani. If she had a problem with me nadhani angesema na nilishamaliza but hawa viumbe ni Padua kichwa sijui nikirudi enzi zangu za michepuko atafurahi?