Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Naye kazisoma hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifah,ni kweli uyasemayolakini roho inauma , nakubaliana na wewe , lakini naona kama mahusiano yalikuwapo muda mrefu , nimeacha kazi miaka miwili iliyopita nikaanza kuona dalili za dharau hivi, ndio nikaanza uchunguzi na kukutana na hayo.Kwa maisha mliyoishi miaka 30, sioni shida kwenye hizo meseji.
Mawasiliano ya kawaida kabisa hayo, kama hayakupendezi ni vyema kumwambia ayasitishe muendelee kuishi kwa amani.
Hayupo humuNaye kazisoma hapa
Sawa nitavumilia,Sasa si uvumilie mpaka upate uthibitisho? 🙂
Ndio maana nimeomba ushauri humu, lakini baada ya hizo chart, upendo umepungua mpaka asilimia 60Sasa kam ushaseme unampenda sisi tukupe ushauri gani katik mtu unaempenda?
Lakini chatt zinaonesha tayali walikuwa na mahusiano ila mwanaume anapotezea, akimuhitaji ni dakika sifuriAchana na hizo meseji, ni chatting za kujifurahisha tu, hawapo serious
Unaweza kuniambia hizo priorities ni zipiNinachokiona hapo ni Priorities tu
Lakini upendo utsendelea tena ndugu yangu kuishi na mtu wa namna hii,Kama una above 50 msamehe tu, hakuna jipya, wote wanaliwa Kaka. Utakuja kufa bure Kaka yangu.
Pia ukiona mwanaume hana interest hivyo, ujue mkeo anamchuna na hana time naye kabisa.
Wanawake wote wako hivyo hivyo, tunaomba Mungu tu uzima na tusipateagongwa Kaka.
Uttoh2020, kwa jinsi unaona hizo chart, kwa muono wako , je ni nzuri kwa Mume, au zinatia mashakaKama una above 50 msamehe tu, hakuna jipya, wote wanaliwa Kaka. Utakuja kufa bure Kaka yangu.
Pia ukiona mwanaume hana interest hivyo, ujue mkeo anamchuna na hana time naye kabisa.
Wanawake wote wako hivyo hivyo, tunaomba Mungu tu uzima na tusipateagongwa Kaka.
Tatizo hapo sioni message yoyote kama ni marafiki wa kawaida tu,Hizi meseji ni za kawaida baba na wanawasiliana kama marafiki wakawaida tu.
Hapo sasa ni kuwa ni marafiki walio zoeana na jamaa anaonekana hana haiba ya kutoka na mke wa mtu.Tatizo hapo sioni message yoyote kama ni marafiki wa kawaida tu,
Maana kama ni urafiki , labda ningeona wanazungumzia kitu fulani, lakini naona ni kama mke wangu anataka kitu kwako
Wanaume kama nyie mtakufa maskini.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.
Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.
Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu
Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.
Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!
Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.
Mume—- aaa baba ajambo
Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa
Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!
Mume— poa.
Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,
Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.
Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Aisee, inahitaji moyo,I can figure it out uko around 50+, kuna umri ukifika hata mke achepuke it doesn't bother. Vipi watoto wote ua uhakika ni wako?
Anyway, mwambie tu kuwa umejua. Halafu usifanye kitu.
sawa ushauri mxuri sana, hilo la kupasha kiporo ndio linaniumiza, maana sitamwamini tena, ni maisha bila kuaminiana hayana maanaNi kama walikuwa na mahusiano ambayo kwa sasa hayako active, japo wakati wowote wanapasha kiporo...ni muhimu umuhoji akupe maelezo yasiyotia shaka kabisa maana ukinyamza sonona itakumaliza.
Kufuatilia mke sio kitu rahisi hivyo, nimesema kuna vitu ambavyo sio vya kawaida nimeviona toka kwake ndio nikaamua kufuatilia,Wanaume kama nyie mtakufa maskini.
After 30yrs of living together ndio unajifanya kumfatilia?
Au umepata kigoli unamtafutia Sababu?
Au ni Stori ya kutunga hii.
Wewe ni Mzee ndugu yangu kua na heshima.
Ni hilo neno ndio ndio limeniudhi sana , kwa nini amwambie nimeacha kazi ni nipo tu nyumbani,Huyo mwanamke kwanza kabisa anakudharau.
Badala ya kusema umestaafu, anasema umeacha kazi upo tu nyumbani.
😂😂😂😂 umetusahau backbenchers broSamahani ndugu, kwa umri wako unaonekana ni mtu mzima na ulienda jandoni! Hii jamii forum huwa naichukulia ni kama mtaa au kijiji.
Itajengwa hoja kuwa hatufahamiani na tunatumia majina bandia lakini humo kuna watoto, wahuni, wavuta bangi, wanafunzi,watu wazima hovyo,wenye busara na hekima n.k (Ila huwezi kuwajua mpaka atoe majibu)
Swali: Je, upo tayari matatizo yako yote hata ya aibu mtaa mzima au kijiji uyafahamu??
Kwa umri wako umeshindwa kuwatafuta wakongwe wenzako mkakaa kikao na kujadili changamoto inayokukabili kwa utulivu mkubwa??
Hapa naona umewatangazia kijiji au mtaa! Vumilia majibu ya waliopoteza ndoa, waliokosa ajira, walevi, wavuta bangi, vichaa, wanafunzi, watoto, walioachwa n.k!
Nb: Ni mtazamo tu!