Mke wangu kanipa wakati mgumu

Mke wangu kanipa wakati mgumu

Samahani ndugu, kwa umri wako unaonekana ni mtu mzima na ulienda jandoni! Hii jamii forum huwa naichukulia ni kama mtaa au kijiji.

Itajengwa hoja kuwa hatufahamiani na tunatumia majina bandia lakini humo kuna watoto, wahuni, wavuta bangi, wanafunzi,watu wazima hovyo,wenye busara na hekima n.k (Ila huwezi kuwajua mpaka atoe majibu)

Swali: Je, upo tayari matatizo yako yote hata ya aibu mtaa mzima au kijiji uyafahamu??

Kwa umri wako umeshindwa kuwatafuta wakongwe wenzako mkakaa kikao na kujadili changamoto inayokukabili kwa utulivu mkubwa??

Hapa naona umewatangazia kijiji au mtaa! Vumilia majibu ya waliopoteza ndoa, waliokosa ajira, walevi, wavuta bangi, vichaa, wanafunzi, watoto, walioachwa n.k!

Nb: Ni mtazamo tu!
Da , kuwaita wazee wenzangu tena,?

Sasa hapo si ndio nimetangaza mtaa mzima, bora hapa
 
Samahani ndugu, kwa umri wako unaonekana ni mtu mzima na ulienda jandoni! Hii jamii forum huwa naichukulia ni kama mtaa au kijiji.

Itajengwa hoja kuwa hatufahamiani na tunatumia majina bandia lakini humo kuna watoto, wahuni, wavuta bangi, wanafunzi,watu wazima hovyo,wenye busara na hekima n.k (Ila huwezi kuwajua mpaka atoe majibu)

Swali: Je, upo tayari matatizo yako yote hata ya aibu mtaa mzima au kijiji uyafahamu??

Kwa umri wako umeshindwa kuwatafuta wakongwe wenzako mkakaa kikao na kujadili changamoto inayokukabili kwa utulivu mkubwa??

Hapa naona umewatangazia kijiji au mtaa! Vumilia majibu ya waliopoteza ndoa, waliokosa ajira, walevi, wavuta bangi, vichaa, wanafunzi, watoto, walioachwa n.k!

Nb: Ni mtazamo tu!
Wiseman
 
Mimi mkiachana au kuuwana inanisaidia nini?? Hakuna nakupa ushauri kwani unanilipa unajua siku hizi anzeni naombeni ushauri sio mke wangu ananipa wakati mgumu wakati mnakenyuliana meno ulikuja kupost mke wangu ananikenyulia meno wacha hizo tabia kaa na shida zako au shirikisha shida zenu namliokula pilau nakeki
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Achana na simu za wanawake halafu unaweza Kuta hiyo number unayo kwenye simu yako mbona hwajaongela kuhusu duduling
 
Back
Top Bottom