Mke wangu kanipa wakati mgumu

Mke wangu kanipa wakati mgumu

Hizo msg za kawaida sana, japo usaliti wa kihisia hauangalii ni jinsi gani watu wanaongea. The fact kwamba wanaongea tayari kuna hisia za usaliti.

Ila, miaka 30 ya ndoa naamini mpo na watoto wenye late 20s hivi. Leaneni mzeeke vizuri, huna haja ya kuchungulia mkeo anachat nini na watu, mmeshakuwa watu wazima probably kwenye 50s huko.
 
M
Lakini upendo utsendelea tena ndugu yangu kuishi na mtu wa namna hii,
Kumbuka nimeishi naye miaka yote hiyo kumbe slikuwa na mambo yske,

Nasikia uchungu sana kama ni kweli alikuwa ni malaya, nashindwa hata kuongea naye vizuri,

Kila akiongea naona ni tapeli fulani,

Lakini swali langu lipo palepale , je nimuulize?
MUulize ili roho yako ilizike na uwe na amani! Usisahau pia kusisitiza ufafanuzi kwamba unahisi huyu bwana ni mtu wake wa muda mrefu,kapigaaaa hadi kachoka.
 
Dingi muache bi mkubwa ashtue shtue injini......
Shida ni kwamba itakuwa ilishashituliwa kitambo hadi mtu kachoka, ni ile hali yeye yupo kwenye ndoa miaka 30,lakini kuna mwamba yupo humo humo miaka 10.
Hii inauma, dingi atulie tu wale mafao .
Too late...
 
Hivi mnaoa ili iweje wasengerema nyie...
Mwanamke ni chombo cha STAREHE
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Ndoa yenu ina umri mkubwa kuliko wangu nikichangia nitakuwa naharibu badala ya kujenga 🫡
 
Atafute tutoto twa afu mbili achangamke kidogo
Sasa mstaafu huyu wa afu mbili wanahitaji sana pesa hasa wakiwa na watu wazima.
LAkini baba kasema alipoacha kazi miaka miwili ilopita dharau zilianza means pamoja na kujipata huenda pia kiuchumi si kamili gado kivile. Atajichosha tu na heshima kushuka zaidi.muda wa kulea wajukuu huu.
 
Una D ngapi? Hujasoma pale mama analalamika " kwahiyo uliamua kutupa mti na jongoo wake?"
Jamaa alipiga na kuacha, mama amemisi kuliamsha tena.
Tusimfariji mahali ambapo anatakiwa achukue hatua kuliweka sawa.
D zimeingiaje kijana.

Je kwa sasa wapo kwenye mahusiano? Jongoo ni yupi na mti ni upi?
 
D zimeingiaje kijana.

Je kwa sasa wapo kwenye mahusiano? Jongoo ni yupi na mti ni upi?
Kutokana na hizo chati inaonyesha walikuwa na mahusiano yakafa, zimebaki tu stori zisizo na muendelezo na mvuto.
Sasa hiyo ya kutupa jongoo na mti wake ni kama vile mama anauliza " kwahiyo ndio hutaki tena? Umepotea mazima?"
Jamaa anavunga tu ,akitaka anapiga asubuhi mapema tu
 
Kutokana na hizo chati inaonyesha walikuwa na mahusiano yakafa, zimebaki tu stori zisizo na muendelezo na mvuto.
Sasa hiyo ya kutupa jongoo na mti wake ni kama vile mama anauliza " kwahiyo ndio hutaki tena? Umepotea mazima?"
Sahii unavyosema inaelekea ni penzi la zamani.
Ila je achukue hatua ipi? Apotezee/amuache/akae nae kitako...?
 
Sahii unavyosema inaelekea ni penzi la zamani.
Ila je achukue hatua ipi? Apotezee/amuache/akae nae kitako...?
Naona akae nae kitako wazungumze, hata kama hawatofikia muafaka kwa mama kutokubali kuchepuka,lakini ujumbe umfikie kwamba mzee aligundua au kuhisi kitu.
Kitu kingine mzeeakikaa nalo moyoni hatakuwa na amani na mama, hivyo aliweke wazi kuutua mzigo moyoni.
Na kwa lolote litakalotokea wasameheane tu kiumri lazima wana 60+ . Waleane tu kwa muda mfupi uliobaki .
Maana hapo wapo dakika za jiooni kabisa.
 
Back
Top Bottom