Mke wangu kanipa wakati mgumu

Mke wangu kanipa wakati mgumu

Mshua kazingua huyu, 30yrs unaomba ushauri badala yeye kuombwa ushauri na vijana. Basi kama Maza anatoka huenda chanzo Kiko hapa, mzee kama hajisimamii, hajitegemei, analalamika, analialia, anaomba-omba, anakua kama mama sasa maana hizo ndo tabia zao, ko mama kaona anaishi na mwanamke mwenzie ndani, hulka ya kike ni kutaka mwanaume, amsimamie, amuongoze, amfundishe, amrekebishe, amkoromee, (kwa mko wa mara-ampige), akiyakosa hayo ndani, akayaona nje, atakwenda tu, yakirudi anarudi, mtazamo wangu tu, ndoa ni upendo sio uvumilivu, ndivyo nilivyoambiwa kwenye mafundisho, hilo la uvumilivu tumeliweka sisi wenyewe wanandoa baada ya upendo kutushinda, kumbuka upendo hauna mwisho ila uvumilivu unao, tusibadili alichokiweka Mwenyezi Mungu.,tutalia na asiwepo wa kututuliza....30yrs ni miaka 5 baada ya jubilei ya dhahabu sio ya adhabu.
 
Kwa maisha mliyoishi miaka 30, sioni shida kwenye hizo meseji.

Mawasiliano ya kawaida kabisa hayo, kama hayakupendezi ni vyema kumwambia ayasitishe muendelee kuishi kwa amani.
waache watafute changamoto!
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Ulimfuatilia wa nini kama huwezi kumuacha?
Mna watoto na kila mtoto anamaisha yake,utawapa funzo gani wanao endapo watakuja kuomba ushauri au kusuluhishwa kwenye ndoa zao?
You are too old to break your marriage and you are old enough to solve your family conflicts yourselves.
 
Hizo msg za kawaida sana, japo usaliti wa kihisia hauangalii ni jinsi gani watu wanaongea. The fact kwamba wanaongea tayari kuna hisia za usaliti.

Ila, miaka 30 ya ndoa naamini mpo na watoto wenye late 20s hivi. Leaneni mzeeke vizuri, huna haja ya kuchungulia mkeo anachat nini na watu, mmeshakuwa watu wazima probably kwenye 50s huko.
Bro , sikuamua tu kuchungulia msg bila sababu, niliona mambo kama hayapo sawa, halafu kumbuka huu ndio umri wa wanawake kufanya yao,

Maana keshakutumia sana,

Kama watoto umeshamsomishea( wote wamemaliza chuo kikuu UDSM)

Kama ni nyumba umeshamjengea , na mshara haupo tena , anaona wewe wa nini tena , kwani we Mama yake,

Ndio mwanzo hata wa kukuondoa duniani
 
Ulimfuatilia wa nini kama huwezi kumuacha?
Mna watoto na kila mtoto anamaisha yake,utawapa funzo gani wanao endapo watakuja kuomba ushauri au kusuluhishwa kwenye ndoa zao?
You are too old to break your marriage and you are old enough to solve your family conflicts yourselves.
Wakati mwingine yakikuzidia ushauri ni muhimu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Wewe vumilia tu. Sasa Unataka ugomvi uzeeni Subiri akuue Waendelee Kwa Uhuru tu
 
Acha kupekua simu ya mwenzi wako. Utajipa msongo wa bureee!
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Miaka 30 ya ndoa nyie n wastaafu kaeni kwa amani mmalizie maisha yenu kwa amani hapa Duniani
 
Bro , sikuamua tu kuchungulia msg bila sababu, niliona mambo kama hayapo sawa, halafu kumbuka huu ndio umri wa wanawake kufanya yao,

Maana keshakutumia sana,

Kama watoto umeshamsomishea( wote wamemaliza chuo kikuu UDSM)

Kama ni nyumba umeshamjengea , na mshara haupo tena , anaona wewe wa nini tena , kwani we Mama yake,

Ndio mwanzo hata wa kukuondoa duniani
Dah!. Kweli changamoto haziishi
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.

Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.

Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu

Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.

Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!

Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.

Mume—- aaa baba ajambo

Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa

Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!

Mume— poa.

Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,

Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.

Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Kwenye ndoa miaka 30 lkn unatumia alphabet X kama mbadala wa z au s.

Endelea kujitungia.
 
Back
Top Bottom