Mke wangu kanipa wakati mgumu

Mke wangu kanipa wakati mgumu

😂😂😂😂Nimecheka kwa sauti.baada ya miaka 30 ya ndoa.. sasa hapo kimebaki Nini?
Usicheke , na wewe utafika huko,
Kwangu mimi maisha yetu yalikuwa nazuri tu, kiasi hio miaka naona ni kama tumekutana jana tu,

Na wewe utafika huko,
Unajua kwa miaka hiyo kuna mambo mengi sana ya kushare kuliko umri mdogo.

Ndio maana DA DON kasema hasara inaweza kuwa kubwa zaidi kuliko faida.

Unajua mkiachana mkiwa na umri mdogo, wakati mwingine hamna kitu mmechuma pamoja, hamna watoto , ndugu hawawafahamu wengi, inakuwa haina shida,

Lakini kwa umri wetu huu, utakuwa na kazi ya kusimulia watu nini kimetokea mpaka ukome,

Pamoja na aibu juu,

Hayo ni mambo ya kuangalia sana
 
Umri wa kuanzia miaka 50 ni umri ambao you need to stay away na mambo yote yatakayoleta maumivu ya kihisia.

Hii itakusadia kuwa na well mental wellbeing.

NB hizo message zinaonesha huyo mwanume anafanya maisha muda huu hataki kupoteza muda.

Ila mke anaonekana she is still need a company and attention that all.

Mke wako amezeeka aged na wewe umri sio haba je hauoni kutumia busara kuacha kumfatilia


Ndoa inafungwa na sala na mizimu Ila inakuja kuvunjika kisa tu message moja ya simu

Think twice MTU yeyote ukimfatilia utagundua uchafu wake mwingi na utaumia Sana.
 
Mkanye mwambie anatafuta nini kwa umri huo zaidi ya aibu kwa watoto.Asiposikia sitisha tendo nae mbaki kulea watoto tu mwache akausake mwenyewe ukimwi nje
 
Umri wa kuanzia miaka 50 ni umri ambao you need to stay away na mambo yote yatakayoleta maumivu ya kihisia.

Hii itakusadia kuwa na well mental wellbeing.

NB hizo message zinaonesha huyo mwanume anafanya maisha muda huu hataki kupoteza muda.

Ila mke anaonekana she is still need a company and attention that all.
Nimekusoma
 
Mkanye mwambie anatafuta nini kwa umri huo zaidi ya aibu kwa watoto.Asiposikia sitisha tendo nae mbaki kulea watoto tu mwache akausake mwenyewe ukimwi nje
Mawazo mazuri ndugu yangu
 
Kuanzia miaka 50 inashauriwa mwanaume kukaa mbali na mwanamke asiyejitambua kwa faida ya afya ya akili yako pana wanawake wao kuacha ngono ni hadi wajukuu zao waolewe
 
Wanawake walioolewa wanaojitambua ni wachache sana wakati mwingine angalia watoto tu
 
Po
Usicheke , na wewe utafika huko,
Kwangu mimi maisha yetu yalikuwa nazuri tu, kiasi hio miaka naona ni kama tumekutana jana tu,

Na wewe utafika huko,
Unajua kwa miaka hiyo kuna mambo mengi sana ya kushare kuliko umri mdogo.

Ndio maana DA DON kasema hasara inaweza kuwa kubwa zaidi kuliko faida.

Unajua mkiachana mkiwa na umri mdogo, wakati mwingine hamna kitu mmechuma pamoja, hamna watoto , ndugu hawawafahamu wengi, inakuwa haina shida,

Lakini kwa umri wetu huu, utakuwa na kazi ya kusimulia watu nini kimetokea mpaka ukome,

Pamoja na aibu juu,

Hayo ni mambo ya kuangalia sana
Pole Sana baba...Basi nikuombe kitu kimojaa kwanza tuliza akili ktk hili na usikurupuke kufanya maamuzi..kwa umri mlio nao kuachana sio busara kbsaa Mimi ninachofahamu ni kwamba,mtahitajiana zaidi na zaidi ktk umri wenu...mueleze mkeo uliyaona na msamehe maisha yaendeleee🙏nakutakia kila lililo jema ktk kulimaliza jambo hili..
 
DA DON,
Inaeezekana hasara ikawa ni kubwa kuliko uhai wangu? Maana inabidi kuangalia upande mwingine pia,
Kuna magonjwa na kuuana, maana ni dk sifuri hawa watu wakiendelea na mchezo wao wanaweza kusuka njama wakanimaliza
Hili nalo la kulitazama, wewe umelala nae miaka 30 unamjua vizuri, na kwa namna unamuona je hili linawezekana? Kwa namna umetueleza kule juu ni kwamba penzi lao limefifia.
Sasa je? Mrejesho baada ya kumuuliza imekuwaje? Tupe mrejesho tuanzie hapo.
Maana kwa sasa kuna kesi ndani ya kesi.
Wewe umeshatutaarifu kesi,hujatutaarifu ndani ya kesi ( mrejesho).
 
😂😂😂😂Nimecheka kwa sauti.baada ya miaka 30 ya ndoa.. sasa hapo kimebaki Nini?
Sasa umebaki muda wa kubebishana na kula matunda ya ustafu,kunakuwa hakuna majukumu watoto wapo makwao,pilika pilika zinapungua, mama ampikie baba vyakula vizuri vya kambakamba protini pamoja na karanga ,mbogamboga.
Ngono ya uzeeni ni tamu hakuna streez za utafutaji kwa sana mnakuwa mmetafuta tayari.
Muda kujaliana kuuguzana,kusindikiza dakika za jiooooni kabisa.
 
Usicheke , na wewe utafika huko,
Kwangu mimi maisha yetu yalikuwa nazuri tu, kiasi hio miaka naona ni kama tumekutana jana tu,

Na wewe utafika huko,
Unajua kwa miaka hiyo kuna mambo mengi sana ya kushare kuliko umri mdogo.

Ndio maana DA DON kasema hasara inaweza kuwa kubwa zaidi kuliko faida.

Unajua mkiachana mkiwa na umri mdogo, wakati mwingine hamna kitu mmechuma pamoja, hamna watoto , ndugu hawawafahamu wengi, inakuwa haina shida,

Lakini kwa umri wetu huu, utakuwa na kazi ya kusimulia watu nini kimetokea mpaka ukome,

Pamoja na aibu juu,

Hayo ni mambo ya kuangalia sana
Word..
 
Sasa umebaki muda wa kubebishana na kula matunda ya ustafu,kunakuwa hakuna majukumu watoto wapo makwao,pilika pilika zinapungua, mama ampikie baba vyakula vizuri vya kambakamba protini pamoja na karanga ,mbogamboga.
Ngono ya uzeeni ni tamu hakuna streez za utafutaji kwa sana mnakuwa mmetafuta tayari.
Muda kujaliana kuuguzana,kusindikiza dakika za jiooooni kabisa.
Ewaaaaaaah
 
Back
Top Bottom