Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Basi kama ndo ivyo huyu jamaa abaki na watoto pamoja na dada wa kazi....Bado mke Ni mbichi kuliwa kuko pale pale
Maana atakuwa anampikia na baba mwenye nyumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama ndo ivyo huyu jamaa abaki na watoto pamoja na dada wa kazi....Bado mke Ni mbichi kuliwa kuko pale pale
Halaf akimaliza anamla na mpishiAkikujibu uje Nyumbani kwangu nikupikie Biriani na thoda
Fimbo ya mbali haiui nyokaHabarini wapendwa.
Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo ananyonya (Mwaka mmoja).
Sasa nina changamoto moja,
Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.
Wazoefu naomba mawazo yenu!
Ahsante:
usijifariji, long distance relationship ni hatari kuliko chochote, ukiishi mbali na mke upendo huwa unapungua, pia hakuna mwanaume au mwanamke anayeweza kuishi mwezi mmoja bila kudukuliwa. jiandae kwa magonjwa ya zinaa, kuchapiwa na kupungua upendo kwasababu wewe utapata mchepuko ukapunguzia upando huko na yeye atapata wa kumkuna atapunguzia upendo huko. wazungu wanalijua sana hili ndio maana huwa hawaruhusu.Duh umenifurahisha sana mkuu,eti kama ndoa tulizo nazo sisi,sidhani kama ni kweli,nakushauri usiweke fikira na akili zako kwa mwanamke.
Siku ukigundua ayafanyayo utakufa kabimba ka ngi, usikute mkeo anachepuka kila siku huku wewe wajisifu una stable family
Acha kabisa
Ili iwejeShinyanga sehemu gani ili nikipita naenda mwanza naeza pita nikamsalimia shemegi au nimeongea vibaya ndugu zangu.
Sasa ubaki na mtoto wa mwaka kweli? Au unayo matiti ya kumnyonyesha?Mkubwa 3yrs, Mdogo Mwaka mmoja katimiza mwezi huu
Iwe hivo hivoIli iweje
Atatafunwa?!KWISHA HABARI YAKO
Atatafunwa?!
Nani huyo!?Nipo nae hapa, tunataka kuingia raundi ya TATU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Umesomeka MkuuMbona sioni shida hapo mkuu au Kuna kingine hujasema hapo kipato kwa familia kinaongezeka baada ya miaka 3 anaweza kurejea kuja dar akiwa na kazi
Mkiwa pekee Kila mmoja atapata mda wa kutafakari upya na kuona umuhimu wa mwingine
Nilitaka nishangae 🤣🤣🤣🤣🤣Namba yake kama hutojali