Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
kama atafuatafuata tu anaweza kushindwa kuitunza ndoaMuache aende na mtoto ila mtaftie msaidizi. Ila kama wewe ni baba wa nyumbani mwambie akuachie tu.
Tafuta sana pesa kwa ajili ya watoto wako baadae.....
Kwa sasa akili yako elekeza kwenye kulea watoto wako kwa % kubwa maana akishaenda huko ni hatari hatarishi. Yaani ni 50/50