Kwani we ukisikia shinyanga unawazaje kwani? Hiyo hali ya hewa ina maana unataka kusema hakuna watu wanaoishi au unadhani shinyanga ni jehanamu???Msaidizi yupo na ndio anaplan kwenda naye, hofu yangu ni hali ya hewa kubadilisha hawa watoto maana bado wadogo, mwanzo niliwaza huyu msaidizi abaki lakini niongeze msaidizi wa pili wa kulea watoto.
Kwa taarifa yako shinyanga unayoiwazia wala sio kama hiyo. Shinyanga ni town tena pa kishua unless iwe ni shinyanga DC