flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 591
Jamani mbona mnachangamkia fursa haraka sanaNipo hapa shinyanga pliz nipatie mawasiliano yake niwe mwenyeji wake[emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mbona mnachangamkia fursa haraka sanaNipo hapa shinyanga pliz nipatie mawasiliano yake niwe mwenyeji wake[emoji120][emoji120]
Tutampokea Kwa bashasha zote,wewe Baki unalinda nyumba huko ulikoHabarini wapendwa.
Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo ananyonya (Mwaka mmoja).
Sasa nina changamoto moja,
Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.
Wazoefu naomba mawazo yenu!
Ahsante:
Mawasilia o ya whatsapp kwa mke na mume ni uwongo tuuWewe baki alone acha mama abebe watoto na msaidizi
Achana na mambo ya Hali ya hewa. Hata kule Kuna maisha fresh tu
Muhimu, narudia tena muhimu dumu kwenye mawasiliano na mkeo akiwa huko
Sasa mbususu lose ball sii imepatika watu wafanyeje kama sio kuichangamkiaJamani mbona mnachangamkia fursa haraka sana
Wewe ndo unawaweza watu waliopinda wa hapa JF hapo lengo lake uonekane muongo Safi Shem Darling wangu.Haya tuendelee na madam jibu umechagia vipi?Mimi Kama Shem wako nakushauri acha waende huko watakuwa salama tu bila neno.Wewe kubaki na watoto is Big No.Watoto Wana vile vihoma vya kupandisha joto usiku is only a mother can understand this and take immediate measure to it.Hii kazi hakwenda, na nadhani ukifuatilia kwenye hilo thread hapo nilisema... this time around kapata kwenye Taasisi ya Kiserikali
Una shape Kwanza , mana tunaongelea mdada anayeonekana , kama haeleweki Nani wa kumpaparukia, kama anasomeka kuchapiwa lazima tuu yaanJiheshimu basi Kama wako analiwa sio wote nyie mnaudhi Sana Kuna watu bado ni wasafi na wanajiheshimu.Sio vizuri kumpanikisha kaka wa watu mpaka anapata stress
Too dangerous ,Kuishi Mkoa mwingine na mkeo awe anafanyakazi Mkoa mwingine, hapo ni suala la muda tu. Baada ya mwaka mmoja tu kilakitu kitakuwa wazi. Huyo mkeo atakuwa na mume mwingine na wewe utakuwa na mbadala wa mkeo.
Binafsi sitaruhusu kitu kama hiki kitokee kwa mke wangu.
Uwiiiiiii nafyaaaUna shape Kwanza , mana tunaongelea mdada anayeonekana , kama haeleweki Nani wa kumpaparukia, kama anasomeka kuchapiwa lazima tuu yaan
Huyu jamaa ana uzoefu na hili swala naomba asikilizweHesabu maumivu, ushapigiwa hadi hapo. Anaenda kuwa kama cute wife
😂😂😂 HatariHuyu jamaa ana uzoefu na hili swala naomba asikilizwe
Kwa % huwa inakuwa hivyo....... hapo achague moja tuu huyu jamaa kumzuia asiende ama amuache aende.
Huyu jamaa ana uzoefu na hili swala naomba asikilizwe
Huyu Housegal wangu anastahili kujengewa sanamu- maana sijapata tabu yoyote kwenye kulea hawa vijana wangu, tupo naye huyu Binti mwaka wa 6 huuMzee baba ukitaka ujitundike ubaki na huyo mtoto,hasa watoto wachanga ni wasumbufu kinoma,mm nlidhani naweza kaa na mtoto nliachiwa 2hrs nliona kama wiki sitakuja sahau.
Mshukuruuu sanaa huyo bintiii...!! Kulea kazii sana aisee nashangaa jamaa Anavyolilia mtoto... Nahisi anataniaa hii ni chaiHuyu Housegal wangu anastahili kujengewa sanamu- maana sijapata tabu yoyote kwenye kulea hawa vijana wangu, tupo naye huyu Binti mwaka wa 6 huu
Nitamjengea sanamu kabisaMshukuruuu sanaa huyo bintiii...!! Kulea kazii sana aisee nashangaa jamaa Anavyolilia mtoto... Nahisi anataniaa hii ni chai
AhahahahAisee nakuonea huruma sana, hao Watoto angalau watakusaidia asijiachie sana lakini kuliwa ni lazima, huu ndio ukweli mchungu ambao ni lazima ukubaliane nao.
Kumbe Ni huyu huyu anatochoraa eehMwaka jana ulituambia alipangiwa kazi Kagera,hakwenda kule au?