Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo anayonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomna mawazo yenu!


Ahsante:
Wewe kinachokuumiza kichwa ni mama kwenda na mwanae??? mzima kichwani kweli wewe??? yani hapo ndo vizuriii maana hata kucheat atacheat kwa akili angalau atakumbuka ndomu pia atamkeep busy sasa wew unataka akuachie mtoto utamnyonyeshaa wew??? unadhani kulea mtoto mdogo ni lele mamaa au wew ni baba wa nyumbani??? UNAKWAMAAAAAA.
 
Hao watoto wote acha waende na mama yao.kwa mama hakuna gumu linapokuja swala la malezi.afu unasemaje?! Ati akuache na watoto na binti wa kazi?! We kaka unamaanisha au unatania?! Huyo binti si utamgeuza mke huko ndani.hakuna kitu kama hicho. Na ukweli ni kwamba hutaweza lea watoto
 
Bila kupepesa macho Hz kaz huwa zinavunja ndoa , hasa kama mwanamke bado mbichi , serikali tuu kuhamia Dodoma mamia ya ndoa zilivunjika plus kuzaliwa watoto wengi nje ya ndoa .... Hakunaga distance relationship .... Jitahd uvunje uchumi wa huyo mwanamke , Ila kama alivyoeleza mdau namba 3 hapo jitahd tuu kulea watoto ... Lolote laweza tokea
 
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo anayonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomna mawazo yenu!


Ahsante:
Mbona ni kama una wenge la kuchapiwa mkeo?

Hadi kuandika KAPANGIWA kwenye title umeshindwa
 
Bila kupepesa macho Hz kaz huwa zinavunja ndoa , hasa kama mwanamke bado mbichi , serikali tuu kuhamia Dodoma mamia ya ndoa zilivunjika plus kuzaliwa watoto wengi nje ya ndoa .... Hakunaga distance relationship .... Jitahd uvunje uchumi wa huyo mwanamke , Ila kama alivyoeleza mdau namba 3 hapo jitahd tuu kulea watoto ... Lolote laweza tokea
Uhamisho wa dodoma kuacha familia dar umegharimu UHAI WA WATU WENGI NA KUVUNJA NDOA NYINGI SANA.
 
Shinyanga hakuna hali mbaya ya hewa ni jua na kavumbi kama mbugani, la hali ya hewa mbaya ondoa! Labda lingine
Na mjini pako poa simple tu!

Hata maeneo ya kupanga naweza kushauri atafute kambarage etc ni pazuri na karibu na town.. asikae mtaani sana kwa wananzengo
Wanazengo wanamambo kweli kweli yaani
 
Aisee nakuonea huruma sana, hao Watoto angalau watakusaidia asijiachie sana lakini kuliwa ni lazima, huu ndio ukweli mchungu ambao ni lazima ukubaliane nao.
Jiheshimu basi Kama wako analiwa sio wote nyie mnaudhi Sana Kuna watu bado ni wasafi na wanajiheshimu.Sio vizuri kumpanikisha kaka wa watu mpaka anapata stress
 
Back
Top Bottom