Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo ananyonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomba mawazo yenu!

Ahsante:
Nakushauri mwache aende na watoto
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo ananyonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomba mawazo yenu!

Ahsante:
Nakushauri muache aende na watoto ni muhimu. Watoto katika umri huo wanahitaji Malezi ya mama Sana kuliko baba. Hivyo mtafutie Dada wa kazi atakayekua anamsaidia majukumu. Pia hakikisha unakuwa karibu na mke wako kwenye mawasiliano, kila wakati na kumpa moyo. Distance ni simu kwenye mahusiano bt ukimuweka karibu mtakua salama.
 
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo ananyonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomba mawazo yenu!

Ahsante:
Welcome shinyanga shemeji. Amepangiwa wilaya gan mkuu,
 
long distance relationship ni mbaya sana. labda kama mmezoea kuchitiana. lazima atacheat sana tu na wewe utacheat. hakuna ndoa hapo. kama ipo ni ya kuzaa na kulea watoto ila sio ndoa kama hizi tulizo nazo sisi wengine. ukweli mchungu.
Duh umenifurahisha sana mkuu,eti kama ndoa tulizo nazo sisi,sidhani kama ni kweli,nakushauri usiweke fikira na akili zako kwa mwanamke.


Siku ukigundua ayafanyayo utakufa kabimba ka ngi, usikute mkeo anachepuka kila siku huku wewe wajisifu una stable family


Acha kabisa
 
Kama wewe umejiajiri haraka Sana ufanye mipango ya kuhamia hukohuko shinyanga kwa mkeo kinyume na Hapo NDOA INAKUFA.
Yaani afungashe shughuli zake kwa kumfuata mwanamke,huku akihofia eti mwanamke atagongwa na watu wengine,huu ni ujinga,kwangu Mimi kazi kwanza ,mke baadae,tatizo papuchi imekuwa overrated sana wakati sivyo
 
Jiheshimu basi Kama wako analiwa sio wote nyie mnaudhi Sana Kuna watu bado ni wasafi na wanajiheshimu.Sio vizuri kumpanikisha kaka wa watu mpaka anapata stress
Sasa atapataje stress kwa kiungo ambacho yeye kakikuta kiko wazi,pole sana
 
Kazi ishamuoa uyo mke wako,hapo hakuna ndoa tena ww tafuta mke mwengine...hayo mamb ya kusaidiana kutafuta maisha na mwanamke ninyi wanaume yatakuja watokea puani...

Mwanamke hatakiwi kufanya kazi nje ya mipaka ya mumewe, I mean mwanaume muajiri mke wako ktk shuguli yoyote sio anaenda kuwa chini ya wanaume wengine...

Unalialia sijui watoto na Hali ya hewa ha ha ha .. subiri Kuna kitu kizito zaidi kinakujia mbeleni,.. usiache kurudi kuomba ushauri pia.😂😂😂
 
Haya maisha ya utafutaji ni hatari sana,nimeishi maisha ya aina hii kwa miaka zaidi ya 10 nafahamu madhara yake hasa kwenye mahusiano.Yani mwanamke mgeni anapofika mahali, wanaume wakware ni kama vile Papa amesikia harufu ya damu baharini jinsi wanavyohaha ili kuhakikisha nani atakuwa wakwanza.Muache tu aende na watoto hii kidogo inaweza kusaidia kumfanya busy,otherwise ni Mungu tu hapa wa kumuweka mbele ili mbaki salama....
 
long distance relationship ni mbaya sana. labda kama mmezoea kuchitiana. lazima atacheat sana tu na wewe utacheat. hakuna ndoa hapo. kama ipo ni ya kuzaa na kulea watoto ila sio ndoa kama hizi tulizo nazo sisi wengine. ukweli mchungu.
Ndoa zp hizo mlizonazo bhana, hata nyie mnapigana matukio ni vile tu hujajua au kupewa taarifa na wakora.

Cha msingi mwamba tu ajipange kisaikolojia na kujua kwamba ile kitu sio chaki kusema itaisha ikitumika.....
 
Kuishi Mkoa mwingine na mkeo awe anafanyakazi Mkoa mwingine, hapo ni suala la muda tu. Baada ya mwaka mmoja tu kilakitu kitakuwa wazi. Huyo mkeo atakuwa na mume mwingine na wewe utakuwa na mbadala wa mkeo.

Binafsi sitaruhusu kitu kama hiki kitokee kwa mke wangu. Labda kama anaenda kwenye semina ya wiki moja na kurudi lakini sio kuhamia kikazi.
Sasa hapo hakuna tofauti mkuu, kwenye hizo semina za week mojamoja ndio hizo wananzengo wanapojilipua,

Hizo semina za week mojamoja ukizigawa ndani ya mwezi huyo my wife wako hatakuwa tofauti na huyo mke wa jamaa anayehamishiwa shinyanga[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom