Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

Fimbo ya mbali haiui nyoka
 
usijifariji, long distance relationship ni hatari kuliko chochote, ukiishi mbali na mke upendo huwa unapungua, pia hakuna mwanaume au mwanamke anayeweza kuishi mwezi mmoja bila kudukuliwa. jiandae kwa magonjwa ya zinaa, kuchapiwa na kupungua upendo kwasababu wewe utapata mchepuko ukapunguzia upando huko na yeye atapata wa kumkuna atapunguzia upendo huko. wazungu wanalijua sana hili ndio maana huwa hawaruhusu.
 
Mbona sioni shida hapo mkuu au Kuna kingine hujasema hapo kipato kwa familia kinaongezeka baada ya miaka 3 anaweza kurejea kuja dar akiwa na kazi
Mkiwa pekee Kila mmoja atapata mda wa kutafakari upya na kuona umuhimu wa mwingine
 
Nipo nae hapa, tunataka kuingia raundi ya TATU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mbona sioni shida hapo mkuu au Kuna kingine hujasema hapo kipato kwa familia kinaongezeka baada ya miaka 3 anaweza kurejea kuja dar akiwa na kazi
Mkiwa pekee Kila mmoja atapata mda wa kutafakari upya na kuona umuhimu wa mwingine
Umesomeka Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…