Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Nendeni mkamloweshe yanga. πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mwaka mmoja anaweza achishwa au unasemaje Mkuu, sema mawazo yenu yananisaidia hapa kumake decisionSasa wewe mtoto anaenyonya ubaki nae wa nini
Ndg. Watoto wako wanachangamoto za kiafya zinazazosababishwa na kubadili mazingira?Msaidizi yupo na ndio anaplan kwenda naye, hofu yangu ni hali ya hewa kubadilisha hawa watoto maana bado wadogo, mwanzo niliwaza huyu msaidizi abaki lakini niongeze msaidizi wa pili wa kulea watoto.
mwachie hao ndio jicho lako sasaMkubwa 3yrs, Mdogo Mwaka mmoja katimiza mwezi huu
Namba yake kama hutojaliHabarini wapendwa.
Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo anayonya (Mwaka mmoja).
Sasa nina changamoto moja,
Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.
Wazoefu naomna mawazo yenu!
Ahsante:
Mkuu tulia basi mi ndo nimewahi kuweka booking hapo juu.Namba yake kama hutojali
Kama unapenda familia ni bora ukabaki nae majukumu yawe juu yako.Msaidizi yupo na ndio anaplan kwenda naye, hofu yangu ni hali ya hewa kubadilisha hawa watoto maana bado wadogo, mwanzo niliwaza huyu msaidizi abaki lakini niongeze msaidizi wa pili wa kulea watoto.
Mkuu mbona umeongea kwa hasira vile, ni watoto wadogo, na wala hakuna anayewalea kimayai, ni scenario mpya ndio maana nikaona nipate ushauri kwa wazoefu.Ndg. Watoto wako wanachangamoto za kiafya zinazazosababishwa na kubadili mazingira?
Ila wazazi wengine mnatia hasira sana. Mnadekeza watoto kama mayai. Mnatuandalia taifa la hovyo.
Kama hutaki watoto wahame mkoa tena wakakae na mama yao hivi kesho unaweza kumruhusu huyo mtoto ashike jembe akalime?!
Anyway, hata kama utawatafutia wasidizi elfu 7 hao watoto, unadhani watakuwa replacement ya mama yao?! Peleka watoto kaishi na mama yao huko.
π€ͺMbona umegoma kusema amehamishiwa wapi?
sisi ni ndugu mkuu wala usiwe na hofu kabisaππ
Nipo DSM Mkuu
Aliniachia hizi Siku tatu alienda kureport Jumatatu leo ndio karudi ; asee naona kama nineachiwa mwaka, maana kadogo hakalali kanasumbua kinyama πMzee baba ukitaka ujitundike ubaki na huyo mtoto,hasa watoto wachanga ni wasumbufu kinoma,mm nlidhani naweza kaa na mtoto nliachiwa 2hrs nliona kama wiki sitakuja sahau.
Sawa MkuuShinyanga hakuna hali mbaya ya hewa ni jua na kavumbi kama mbugani, la hali ya hewa mbaya ondoa! Labda lingine
Na mjini pako poa simple tu!