Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

Mke wangu kapangiwa kazi Mkoani

bujaganoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
561
Reaction score
453
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo ananyonya (Mwaka mmoja). Sasa nina changamoto moja.

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomba mawazo yenu!

Ahsante:
 
Muache aende na mtoto ila mtafutie msaidizi. Ila kama wewe ni baba wa nyumbani mwambie akuachie tu.
Tafuta sana pesa kwa ajili ya watoto wako baadae.....

Kwa sasa akili yako elekeza kwenye kulea watoto wako kwa % kubwa maana akishaenda huko ni hatari hatarishi. Yaani ni 50/50
 
Muache aende na mtoto ila mtaftie msaidizi.
Tafta sana pesa kwa ajili ya watoto wako baadae.....
Kwa sasa akili yako elekeza kwenye kulea watoto wako kwa % kubwa maana akishaenda huko ni hatari hatarishi.
Msaidizi yupo na ndio anaplan kwenda naye, hofu yangu ni hali ya hewa kubadilisha hawa watoto maana bado wadogo, mwanzo niliwaza huyu msaidizi abaki lakini niongeze msaidizi wa pili wa kulea watoto.
 
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo anayonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomna mawazo yenu!


Ahsante:
Nakuhurumia my bro

1 mwanamke mkoa mwingine wewe mkoa mwingine duuh any way

Muachie Watoto anaende nao maana watakupa tabu ndugu yangu
 
Msaidizi yupo na ndio anaplan kwenda naye, hofu yangu ni hali ya hewa kubadilisha hawa watoto maana bado wadogo, mwanzo niliwaza huyu msaidizi abaki lakini niongeze msaidizi wa pili wa kulea watoto.
Mkuu mwanaume kiasili ni mtaftaji sio mlezi wa watoto. Muache aende nao maana kwenye umri kuanzia miaka 0-5 malezi ya mtoto humuhitaji zaidi mama ama mwanamke aliyekomaa na kuyaelewa makuzi ya mtoto.

Mpe kwa mwanzoni ukiona kuna chamgamoto warudishe
 
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo anayonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomna mawazo yenu!


Ahsante:
Sasa wewe mtoto anaenyonya ubaki nae wa nini
 
Habarini wapendwa.

Wadau, Mke wangu kapata kazi Taasisi moja ya Kiserikali lakini Kapangiwa Mkoani (Shinyanga). Tupo na watoto wawili sasa, mmoja ni mdogo anayonya (Mwaka mmoja).

Sasa nina changamoto moja,

Kwanza nimemshauri kwa kuwa ndio anaenda kwenye mazingira mapya asiende na watoto awaache, ila yeye anahisi hataweza bila watoto hasa huyu mdogo, hiki kitu kinaniumiza kichwa sababu hatujui ni lini taasisi yake itakubali kumhamishia hapa nilipo.

Wazoefu naomna mawazo yenu!


Ahsante:
Wewe upo mkoa gani?
 
Back
Top Bottom