Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

Kwanza nikupe moyo karibu wanawake wote wako hivyo hasa inapokuwa biashara ya familia....ni moja kwa Mia kwa baadhi wanaojitambua...ni viumbe vina akili sana ila tatizo Lao kubwa ni rahisi kuwa rubuni wakapoteza lengo...inatakiwa helima na akili kubwa kuwa rudisha kwenye mstari
umeongea kikubwa sana mkuu..
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Kuna fala anakula kiulaini mzee
 
Weeee weeeee weee nmeona, Mimi Toka harakati zangu za mapenzi, Huwa nahakikisha mwanamke ni kiumbe kinyonge kwangu.

Pitia pitia nyuzi zangu, ndo utajua Mimi ni mwanaume wa aina gan.

Mwanamke ni Chombo Cha STAREHE ..unaelewa maana ya kua Chombo Cha STAREHE?
Siku ukifa wanao watateseka sana.
Mkeo hatajua pa kuanzia na mwishowe anaweza kuishia kujiuza.

Jifunze kuwa baba na mume bora.

Hii misimamo yako ni ya kikoloni sana.

Mwanamke ni bora akipata mwalimu na mume bora
 
Umefeli pakubwa we nyau wewe. Mwanamke anakuwaje na mandate kubwa kiasi hicho kwenye biashara? Yeye alitakiwa awe chini Yako yaani afanye kazi Kwa kujua kuwa unamfatilia. Yeye auze na jioni mfunge mahesabu pamoja Tena ukibaini upotevu kuwa mkali. Sasa miaka miwili yeye anaendesha biashara Kwa kufunga na kifungua mahesabu peke yake! Trust me atakua anawekeza mahali Fulani naukizingua mtaachana na yeye atakua mbali Sana.

Wewe hutambui nafasi Yako Kama mwanaume na yeye amejua Hilo ndiomaana anaendelea kukusumbua. Mtoe dukani arudi kulala kwenye korido za nyumba na dukani weka mtu. Yaani we jamaa ningekua jirani nawe ningekutwanga makofi fuvu likae sawa. Miaka miwili hujui mtaji upo au umekua kiasi gani, je kama Kuna jamaa anaendesha biashara hiyo Kwa kumnyandua mkeo utajuaje?

Kuna mpuuzi Kama wewe huku mtaani ndoa yake imeingia mdudu. Mke alipewa mtaji wa nguo akawa anafuata mzigo Dar na kuja kuuza. Mwaka mmoja tu ulitosha kupata njemba wa kumuongezea mtaji na jamaa kuja kustuka it's too late.
Mbona mnakuwa na uchungu na maisha ya watu kiadi hiki?

Mke ni wake
Hasara ni yake...kwanini umpige?
 
Kwanza mwanamke anatoa nguvu wapi ya kukujibu hivyo ?
Kuna kitu hakipo sawa.
1. Mwanamke ana akili ndogo na duka limempa kiburi.

2. Mwanamke ni limbukeni anaona kama ameyapatia maisha.
3. Jamaa hajasimamia nafasi yake..
Huwezi kukosa hata siku moja ya wiki mfanye hesabu.

4. Mke atatoa wapi nguvu ya kunitamkia neno kama hilo ikiwa anajua uwezo wangu wa kiuongoxi katika familia?
 
Nature ya mwanamke ni mbinafsi. Jana wife aliniletea mambo ya kiwaki kinamuonesha mlango. Ukikosa sauti kwenye familia thamani yako kama baba inakufa. Na wewe unakua umekufa
Una akili sana man

Don't you ever loose your voice.

Inabid ajue nafasi yake, kwamba yeye ni nini? mpaka akupande kichwani.

Nowadays wanawake kwenye mambo ya hela wanatamaa sana isiyo elezeka

Huenda inachangiwa na hali ya kupewa kila kitu na wazazi hivyo hawajui uchungu wa kutafuta au kupoteza

Wanaona kila kitu rahisi rahisi kwa kivuli cha mwanamke matunzo WTF unatunza nini kama hakileti faida or hakina mchango wowote zaidi yakukupa stress na kukuondolea furaha ya moyo.

Nimeandika kwa hasira sana😂
 
mkuu natoka home saa 10 usiku,narudi saa 1 jioni,sasa hip muda wa kuwa karibu ni ngumu mkuu.
sio lazima uwe karibu, inatakiwa kila siku akupe taarifa ya mauzo yote, matumizi yote ya kwenye biashara. Tatizo naloliona hiyo biashara hukuifungua kwa nia ya kkukuongezea kipato. Ulifungua kwa nia ya kumpa mkeo sehemu ya kupotea muda asikae nyumbani, ndio maana huijali
 
Back
Top Bottom