Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo itakuwa Ngoma droo, anaamka anakuta umeposti kitumbua chake,Mvizie akiwa amelala vibaya umrekodi na wewe umpost humu
Mwanetu unataka tusikitike au tukuambie nini cha kufanya? Mbona vijana wa leo mnakuwa dhaifu sana. Yaani mpo laini laini mnapenda kulia lia. Mwanamke anakanywa mara moja tuWakuu habari
Kichwa cha habar cha husika
Hata wanaom-brand mkuu wa nchi wanawakomesha wapinzani.Ewaaaah!!!!
Ila wakati mwingine unaweza kukuta mke wake kuna mtu “anamkomesha” kwa kupost hizo picha.
Muelimisha madhara yake kunasiku atapiga mjengo na kurusha watu heeeWakuu habari
Kichwa cha habar cha husika
Sio wote wanapenda kuji show off mitandaon. Jicho la husda lipo,mwingine hta akila kapost,kanya kapost my maviiii kempiskiii,Sasa si mke wako mkuu au una makando kando yako ulidanganya upo singo?!
Mkeo panamfaa sana pale white house: yupo Active sana kuhabarishaWakuu habari
Kichwa cha habar cha husika
Mke wake ana vision 😁Anataka uwe maarufu❤️