Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Mwanzo wa uchumba alikuwa msafi?msimamie uwii sipendi uchafu jamani napenda kila kitu kikae mahala pale
Mimi napenda maisha ya order yaani kila kitu kiwe vile inavyopasa kuwa, baadhi huwa wananiita perfectionist kwa sababu ya huo utaratibu wangu. Sasa sijui nakosea au vip
 
Mrudishe kwao, unaoaje mtu mchafuuuuu.
Mpe likizo akajitafakari.
 
Majanamke mengi yapo ivo,masafi physical appearance... Mazingira yanayomzunguka ni zero....uchi wake na kinyeo chake kutawaza vyema zero....jumlisha harufu ya fungus,pid na ped iliyochelewa kubadilishwa ndio doooh! Namchukia kweli mpangaji mwenzangu aliyemwaga ukoko wa ugali getin leo asubuhi.Ee Mwenyez Mungu nijaalie nijenge kibanda changu[emoji120]
Madam, hapo unapoishi naweza pata chumba na sebule, kuna jambo nataka kuja kumfunza huyo jirani yenu
 
Heri ya X-mass in advance

Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekuwa mbaya.

Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.

Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale, binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.

Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja, hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.

Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakuwa safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.

Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiyejali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.

Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.

Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Pole mlete huku tumfunde
 
Majanamke mengi yapo ivo,masafi physical appearance... Mazingira yanayomzunguka ni zero....uchi wake na kinyeo chake kutawaza vyema zero....jumlisha harufu ya fungus,pid na ped iliyochelewa kubadilishwa ndio doooh! Namchukia kweli mpangaji mwenzangu aliyemwaga ukoko wa ugali getin leo asubuhi.Ee Mwenyez Mungu nijaalie nijenge kibanda changu[emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usinikumbushe nilikuwa chuo sasa nilipanga nyumba moja na hawa mabinti wa 2000+ jamani ni wachafu vyombo vichafu vinawekwa kwenye beseni mpaka funza wanatoka wenyewe hawana mudaaa.
 
Heri ya X-mass in advance

Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekuwa mbaya.

Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.

Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale, binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.

Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja, hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.

Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakuwa safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.

Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiyejali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.

Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.

Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Upande wa K.... Huko kukoje? Anyway....unaweza nitumia namba yake ya simu niongee naye? Niliwahi pata mtu wa namna hiyo nlimbadilisha. Kuna namna anabadilika huwezi amini.
 
Vumilia, endelea kuonyesha kuchukizwa na hii hali.

Hata wewe kuna madhaifu yako anakuvumilia.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usinikumbushe nilikuwa chuo sasa nilipanga nyumba moja na hawa mabinti wa 2000+ jamani ni wachafu vyombo vichafu vinawekwa kwenye beseni mpaka funza wanatoka wenyewe hawana mudaaa.
😂😂😂😏🙅
 
Nimesema mpaka nimechoka. Nimesema Sana wakati wa kuchagua mke usiangalie hicho kijungu tu hapo nyuma ya mwanamke, Mnaoa matako halafu mnakuja kulalamika huku.
Matako yanapika?
Matako yanafagia?
Matako yanafua?
Ni kweli mwanamke mwenye tako kubwa mtamu hata hivyo Kuna singo maza wengi tu wenye mijitako mikubwa. Mchana enjoy na singo maza mwenye tako, jioni Rudi kwa mkeo mwenye busara na msafi japo Ni flat screen.
Uzuri mwingine wa kuoa flat screen Ni kwamba hakuna mwenye habari nae yaani hatongozwi. Ila mwenye tako baba, kila akipita watu wanageuka kuanzia kijiwe Cha bodaboda Hadi kwenye lift ya ofisini. Huko kwenye daladala ndio usiseme.
Mimi napenda flat screen 32".
 
Majanamke mengi yapo ivo,masafi physical appearance... Mazingira yanayomzunguka ni zero....uchi wake na kinyeo chake kutawaza vyema zero....jumlisha harufu ya fungus,pid na ped iliyochelewa kubadilishwa ndio doooh! Namchukia kweli mpangaji mwenzangu aliyemwaga ukoko wa ugali getin leo asubuhi.Ee Mwenyez Mungu nijaalie nijenge kibanda changu[emoji120]
[emoji16][emoji16][emoji16]umeongea ukweli mtupu kuna mwanamke nilimtoa out kwenda kuogelea tu sikupanga kufanya nae chochote aisee yule dada aliku akikaa akisimama anatoa harufu mbaya nahisi ile harufu ni mchanganyiko wa hayo yote ulio yataja. Alafu pisi ni kali kichizi yani
 
[emoji16][emoji16][emoji16]umeongea ukweli mtupu kuna mwanamke nilimtoa out kwenda kuogelea tu sikupanga kufanya nae chochote aisee yule dada aliku akikaa akisimama anatoa harufu mbaya nahisi ile harufu ni mchanganyiko wa hayo yote ulio yataja. Alafu pisi ni kali kichizi yani
Wananuka mbaya....mbo zinazoingia ni nyingi afu usafi ni zero
 
Back
Top Bottom