Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Una mtazamo mchafu dhidi ya Moro ndiyo unaokuonesha uchafu. Badili kwanza mtazamo Kaka itasaidia sana, huenda hata huyo unayemwita mchafu ana yake yanayokuhusu “no one is perfect”.
Ni neno bay sana kwa mwanamke halafu mke kuitwa mchafu. Ni Sawa kabisa na mwanaume kuitwa nyuki wa mashineni.
 
Hii tabia kwa waha ni km iko damuni, hata ufanyeje ndo walivyo
 
Akaanza kuzuga eti anafuaga ila asiponifulia anaumwa. Mimi nikaendelea na ratiba zangu. Tena nikamwambia unanijua sipendi unafiki, tuishi katika uhalisia.
Mama ake(mama mkwe) hakupendezwa kabisa Mimi kufua. Akaanza kumsema mwanae
Ikawajee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilaa hizi ndoaa jama khaaa!!
 
Huyo si mke wa kiafrica bali na mwanaume mwenzako...
[emoji23] tukibaki wenyewe nyumba siku tano haijapigwa deki. Kufagia tu n kazi. Amekosa malezi ya binti wa Kiafrika.
Ila sasa Wala sina kelele nae, nachoweza fanya nafanya
 
[emoji23] tukibaki wenyewe nyumba siku tano haijapigwa deki. Kufagia tu n kazi. Amekosa malezi ya binti wa Kiafrika.
Ila sasa Wala sina kelele nae, nachoweza fanya nafanya
Hata havinogii jamani
Yani hata choo anakausha?
 
Tabia ya uchafu inategemea na malezi kwa hapo alipofikia sidhan kama anaweza badilika maana imeshakuwa hulka yake
ila kazi unayo kuishi na mtu mchafu yahitaji moyo haswa na uvumilivu
 
Najibuje sasa?
Just " The same to you" is enough. Mmezoea Merry Christmas peke yake 😆😆
Leo ndio siku ya kujawa na furaha na tabasamu muda wote usoni coz zile zawadi zoote ulizopokea siku ya jana zinapaswa zifunguliwe leo😊
 
Just " The same to you" is enough. Mmezoea Merry Christmas peke yake 😆😆
Leo ndio siku ya kujawa na furaha na tabasamu muda wote usoni coz zile zawadi zoote ulizopokea siku ya jana zinapaswa zifunguliwe leo😊
Sijapokea zawadi hata wewe hujatuma 🙆🏼‍♂️
 
Sijapokea zawadi hata wewe hujatuma 🙆🏼‍♂️
Zawadi zako zapo tena zakutosha, zawadi zangu kwako hazitegemei mpaka siku ya sikukuu coz everyday to me is a holiday sweetheart. Fanya mpango uje kuzichukua sasa🥰
 
Zawadi zako zapo tena zakutosha, zawadi zangu kwako hazitegemei mpaka siku ya sikukuu coz everyday to me is a holiday sweetheart. Fanya mpango uje kuzichukua sasa🥰
Oooooowwww sasa nazifata wapi si inatakiwa zitumwe au mi sielewi kuhusu boxing day
 
Back
Top Bottom