Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Ikawajee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilaa hizi ndoaa jama khaaa!!
Uchafu nao ni kipengere
Kuishi na mtu mchafu ni kazi sana
Piga hesabu mwenyewe kama unaweza kuendelea nae hivo hivo ....kama huwezi asee unga tu kifurushi kingine
[emoji23] tukibaki wenyewe nyumba siku tano haijapigwa deki. Kufagia tu n kazi. Amekosa malezi ya binti wa Kiafrika.Huyo si mke wa kiafrica bali na mwanaume mwenzako...
Hata havinogii jamani[emoji23] tukibaki wenyewe nyumba siku tano haijapigwa deki. Kufagia tu n kazi. Amekosa malezi ya binti wa Kiafrika.
Ila sasa Wala sina kelele nae, nachoweza fanya nafanya
ni some form of autism hiyoWewe na mimi hatupishani,mimi kukiwa na uchafu nakosa raha kabisa,na siwezi kuvumilia,kila kitu lazima kikae kwenye mpangilio kinyume cha hapo hatutaelewana...
Kweli?? Basi wengi tuna autism. Nataman hii tabia niiache ila kukaa sehemu chafu hata kwa mbali tu siweziini some form of autism hiyo
Pole sana, komaa nae ndo chagua lako huyo Mkuu!Ndio mkuu freji alisafishwi kwa wakati
Vice versa is trueKama unampenda weka house girl msafi, kama humpendi piga chini
hiyo ya kuwa unataka kila kitu kiwe kwenye mstari au kimejipangaKweli?? Basi wengi tuna autism. Nataman hii tabia niiache ila kukaa sehemu chafu hata kwa mbali tu siwezii
Just " The same to you" is enough. Mmezoea Merry Christmas peke yake 😆😆Najibuje sasa?
Sijapokea zawadi hata wewe hujatuma 🙆🏼♂️Just " The same to you" is enough. Mmezoea Merry Christmas peke yake 😆😆
Leo ndio siku ya kujawa na furaha na tabasamu muda wote usoni coz zile zawadi zoote ulizopokea siku ya jana zinapaswa zifunguliwe leo😊
Duhhhiyo ya kuwa unataka kila kitu kiwe kwenye mstari au kimejipanga
Zawadi zako zapo tena zakutosha, zawadi zangu kwako hazitegemei mpaka siku ya sikukuu coz everyday to me is a holiday sweetheart. Fanya mpango uje kuzichukua sasa🥰Sijapokea zawadi hata wewe hujatuma 🙆🏼♂️
Oooooowwww sasa nazifata wapi si inatakiwa zitumwe au mi sielewi kuhusu boxing dayZawadi zako zapo tena zakutosha, zawadi zangu kwako hazitegemei mpaka siku ya sikukuu coz everyday to me is a holiday sweetheart. Fanya mpango uje kuzichukua sasa🥰
Fungua PM yako nikuelekeze mamii...Oooooowwww sasa nazifata wapi si inatakiwa zitumwe au mi sielewi kuhusu boxing day
Kwishaaa mim pmFungua PM yako nikuelekeze mamii...