Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Nami mke wangu n mchafu na mvivu sana
Akiamka hatandiki kitanda Wala kukunja neti, haoshi vyombo Wala kufagia. Yeye akishaamka n kuoga na kuperuzi mtandaoni basi.

Mdogo angu wa kike ndo anafanya usafi na kupika chai. Akanunue vitafunwa, yeye kakaa kwenye kochi tu.

Mwenzio kuepuka kupata msongo. nimeamua kujifulia nguo zangu, kufua mashuka na neti.
Kufagia uwanja jioni kwani asbh naenda Job.

Wala sina ugomvi nae kabisa sasa. Akija mama ake ama wageni wa kukaa siku mbili tatu ndo ataamka asbh kufanya kazi.
Siku aliyekuwepo mama angu na mama ake nikatoa mashuka na nguo zangu kwenda kufua, akaniomba niziache atafua yeye. Nikamwambia mbele ya wazazi ntafua mwenyewe Kama navyofanyaga, lini yeye akanifulia?
Hila hizi ndoa hizi..kudadadeki,mimi na hasira zangu naweza kumvunja mtoto wa mtu miguu..

Yaani siku zote hufanyi usafi ila wakija kina Mama ndo ujifanye unafanyaga?..nitakuzaba vibao,seriously..huu ni ujinga..

Japokuwa huwa siwazi kumpiga mtoto wa kike,ila kwa hili lazima nikunase vibao.
 
Just " The same to you" is enough. Mmezoea Merry Christmas peke yake 😆😆
Leo ndio siku ya kujawa na furaha na tabasamu muda wote usoni coz zile zawadi zoote ulizopokea siku ya jana zinapaswa zifunguliwe leo😊
Usije kuwa unajilengesha kwa mwanaume mwenzako..shaurilo
 
Heri ya X-mass in advance

Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekuwa mbaya.

Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.

Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale, binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.

Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja, hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.

Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakuwa safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.

Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiyejali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.

Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.

Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
You knew her before you married her

That is your problem
 
Tatizo ni tiki toku, insitagiramu. Sinapuchati na fesibuku kwenye simatifoni.
Ukitoa simatifoni au kubana hela ya bando au kuzuia kuchezea simu anapokuwa na wewe utashukuru atakosa kazi ya kufanya atafanya usafi
 
Ndugu yangu Wala usimpige, maradhi mengi siku hizi. Wewe kama unaweza kufanya fanya huwezi mrudishe kwao akapumzike.
Mwanamke mchafu n kero sana
Hila hizi ndoa hizi..kudadadeki,mimi na hasira zangu naweza kumvunja mtoto wa mtu miguu..

Yaani siku zote hufanyi usafi ila wakija kina Mama ndo ujifanye unafanyaga?..nitakuzaba vibao,seriously..huu ni ujinga..

Japokuwa huwa siwazi kumpiga mtoto wa kike,ila kwa hili lazima nikunase vibao.
 
Nafarijika navoona na wake wa wenzangu ni wachafu, nilidhani ni wakwangu tu! Niwambie tu mimi huwa nafanya usafi mwenyewe maana huyu mwanamke ameshindikana.
Msiba wa wengi ni sherehe
 
Mwenye kutaka mwenza aisyekuwa na mapungufu ataishi upweke maisha yake yote.
 
Heri ya X-mass in advance

Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekuwa mbaya.

Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.

Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale, binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.

Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja, hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.

Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakuwa safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.

Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiyejali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.

Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.

Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app

Ana pepo majalala anahitaji maombi
 
B
Heri ya X-mass in advance

Ebhana kuishi na mke ambaye hajali mazingira ya usafi wa nyumba ni kero mno. Mwanzo nakutana nae hali hii haikujionesha ila sasa tulipofunga ndoa na kujenga basi hali imekuwa mbaya.

Muda mwingi siishi pamoja na huyu mke kutokana na masuala yake ya kikazi, ila sasa kila anapokuja hapa home asee mazingira yanabadilika nyumba inakua chafu kupindukia.

Akiamka asubuhi anachojua yeye ni kuoga kuvaa na kuendelea na mambo mengine na si kushughulikia usafi wa nyumba nje na ndani. Ana mdogo wake nae ni wale wale, binti mchafu hatari nimeongea sana asee hadi nimechoka.

Hii tabia naona keshamrithisha hadi mwanetu wa kike nae ni ovyo hajui kufagia uwanja, hajui kuosha vyombo nguo zake ni kuziweka popote pale.

Nimeongea sana nimepiga kelele sana ila sioni dalili ya mtu kubadilika. Nikibaki peke yangu hapa home mazingira yanakuwa safi ila akija yeye tu ni balaa kama dampo.

Kwenye maisha yangu nachukia sana uchafu na kukaa na mtu mchafu asiyejali mazingira anayoishi kwa kweli inanipa tabu hadi naona bora niendelee kuishi peke yangu tu.

Mwanamke anajua kuoga, kujiremba kuvaa nguo nzuri ila mazingira anayoishi ni kinyaa kabisa.

Wakuu mnadeal vipi na wake na wanafamilia wengine wachafu wachafu hasa uchafu wa mazingira ya nyumbani nje na ndani?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
BOra anaeoga mzee mvumilie nikazani mchafu wa mwili hapo ingekuwa balaa
 
Back
Top Bottom