[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani ulichosema nisahihi kabisaaa [emoji817]We jamaa Una akili sanaaaa
Huyu mwanamke huyo NI muhuni sanaaaa
Ukiona hivyo huyo mwanamke anapokea matumizi Kwa ex wake (Baba mtoto ) kimya kimya, sasa anaogopa ikitokea akajua jina limebadilishwa wakati na yeye anatoa matumizi itakuwaje
Wewe unaona unamsomesha,kumbe mnatoa ela watu wawili Ila ya baba wake halisi anaila wewe hujui...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] alidhani jamaa ana taniaAlivyoona anaachwa ndo kaonba msamaha, tena yy alimtamkia kuwa waachane
Watu kama nyinyi ngumu kusaidia watu baki had awe ndg yakoMnasema tu sababu hayajawakuta,hivi unawezaje kuishi na mtoto ambaye unatumia jina la mwingine huku wewe ukimuhudumia kila kitu??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe na singo maza wako wote mmekosea.
Tukianza na wewe ni kweli unahudumia mtoto, ila hukupaswa kubadilisha ubini bila kukaa na mwenzio mkakubaliana. ULIKOSEA KUFANYA MAAMUZI PEKE YAKO.
Tuje kwa singo maza wako, HAJIHESHIMU NA HAKUHESHIMU, ni kweli ulimkwaza na kumkosea ila ilitakiwa akwambie bila kutumia maneno makali kama "zaa wa kwako"
Kumuacha inawezekana ni sahihi au sio sahihi, hayo majibu yake yanatia mashaka.
Kusomesha mtoto na kufanya kila kitu, FANYA KAMA UNAMLEA YATIMA NA USITARAJIE LOLOTE, UKISHINDWA KUFANYA HIVYO NI BORA UACHE KABISA MAANA UTAUMIA ZAIDI YA HAPO.
Ni mimi singo maza mstaafu.
Mkuu,Unataka atumie jina lako au unataka awe wako?Wewe ndo mwenye matatizo utampaje jina mtoto asiye wako kama vile sperm zako haziwezi totolesha
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]witness sikujua km unamchamba hivi kaaahhh!!!kama anasoma hapa atakoma kuringa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]!!!Dada akale alikopeleka mbogaHilo limwanamke ni lijinga sana sana
Hivi wewe umezalishwa limwanaume lililokuzalisha halitunzi mtoto, unapata mwanaume wa kukusaidia afu unajibu utopolo kisa kakwambia kubadili ubini wa mtoto[emoji849][emoji849]
Unawaka kabisa kwa kuchana daftari na kutukana juu, huyo mwanamke hampendi huyu mleta uzi
Mleta uzi piga chini hilo kahaba, mpaka lije liokotwe tena si leo wala kesho [emoji848][emoji848]
Hahahah!!!pisi Kali au siyoo!Unajua nini huyo mwanamke bado anampenda huyo mwanaume aliyemzalisha na bado anamt.omba tena buuure!
Si unajua zile si wanawake tuna kale katabia ka kuzaa na mwanaume unayempenda na kumpa Chiu bure unayempenda, ndo vinamtesa huyo malayaa, ila ni lijinga kwa hapa alitakiwa atumie akili zaidi
NB:
Itakuwa ni pisi kali hiyo
Aseehh!mi sijui kama nnaweza kua na huo ujinga wa kupenda sperm donors.,hahahahaaaa yaani kabisa jitu limekutelekez then unalivua tena nguo!mweeeTrue...na uamini huwa wana upendo wa ajabu na hao wanaume japo ni sperm donor tu
No need to do that!!!bora kumuacha tuu akapambane na hali yakeMie ningemtesa mamaake kupitia mwanae full stop akiniomba hela dogo namwambia kamuombe baba yako
Hii hali ya watu kuwa na furaha ni Tanzania nzima au hapa Ntwara tu ?Wewe ndo mwenye matatizo utampaje jina mtoto asiye wako kama vile sperm zako haziwezi totolesha
NI kweli umetoa maoni sahihi kwa upande moja wa jina.Toa mbegu upate mtoto wa ubini wako. Hilo ndio Jambo la msingi. Huyo mtoto wa kibaka yupo na muache.... Hakuhusu kiasi cha kumbadilisha jina lake la ukoo.
Unamjibia mleta mada we ni personal assistant wake?Sasa lie kivipi???? Mbona haman alichoongeza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Itakuwa single maza nin wew
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]witness sikujua km unamchamba hivi kaaahhh!!!kama anasoma hapa atakoma kuringa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]!!!Dada akale alikopeleka mboga
Wew ndo unamsemea mleta madaUnamjibia mleta mada we ni personal assistant wake?
Na Raha ya kuwanae single mother awe na kipato ukianzisha mahusiano na single mother njaa kwao njaaa ladhima migogoro haitaishaNI kweli umetoa maoni sahihi kwa upande moja wa jina.
Swala hapa NI kuwa mitizamo yao ilikuwa mbali mbali Sana. Alitakiwa itumike busara kumueleza Hilo sio kuhamaki.
Raha ya singe mother uwe na kipato
We jamaa Una kichwa kibovu kabisa! Mtoto WA mwanaume mwenzio umpe Jina lako? Na unajua Baba yake yupo hai?Baba mzazi wa mtoto yupo hai ,uyu mwanamke mwnyewe anatambua familia ya jamaa ilikataa mimba kwa kigezo cha kabila/mila ..sio baba mtoto wala familia hakuna yotote aliyewahi kutoa hata senti kwa ajili ya mtoto wao.. baada ya kuniambia madhira hayo hivyo nikajiongeza kwa vile mtoto walimkataa nikaona si mbaya akatumia jina langu la ukoo.
Familia yao imemkataa kwa kigezo cha kabila na mila kuna sababu ya mtoto kutumia ilo jina?