Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

Safi sana mwamba huyo mwanamke hajielewi. Kuna watu wamerudia shule enzi hizo shule za sekondari ni chache mpaka leo wanatumia hayo majina yasio halisi na maisha yanasonga vizuri tu sembuse jina la baba wa kambo!

Mwanamke anaejielewa alitakiwa akushuru wewe kutoa jina lako kutumika kwa mtoto asie wako sababu mwenye mtoto alishamkataa.

Mwanamke mpumbavu kaibomoa nyumba yake mwenyewe.
 
Yaani umenena kama mawazo yangu, alafu mleta uzi bado hajampiga chini huyo single mother ila anahitaji ushauri, kwa mimi naweza sema ampotezee huyo single mother atafute kabinti kabichiii waanze nako maisha over
usijekuta jamaa ana miaka 45, hana mke.
ila ana katabia ka kutia mimba na kutelekeza wadada na watoto wao.
na matokeo mtaani ni ma single mother wa kutosha.
COPY KAMA HIZI UTAZIKUTA SANA ARUSHA & K' NJARO.
 
Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa hizi hasira zako juu ya masingle mothers nauhakika wewe ni maskini sana. Si wa fikra tu bali hata kipato [emoji23]. I am very sorry unahiyo mentality. Namuonea huruma mama aliyekuzaa. Katuletea tatizo zaidi ya Corona.
 
Bila shaka utakua singo maza uliekubuhu , endelea kujipa moyo hivyo hivyo
Ukikutana na mwanaume anaekuthamini ujue anataka kukuvua nguo kuonja tu alaf apite hivi.. hakuna mwanaume mwenye ndoto ya kuoa singo maza inatokea Kama ajali tu
 
Kauli zake ni za kuchefua sana...
Angekaa tu chini na mwenzake mwisho wangefikia muafaka. Alishindwa kufake hadi harusi kweli wakat mahari ameshalipiwa??
 
So angemute tuu asiulize chochote kuuusu jina kubadilishwa kwakuwa tu anahitaji msaada? Jaman usingo maza sio ukilemaa
Alivyopanic hakuwa sawa kabisaaa
Ila pia alikuwa na haki ya kuuliza kwa ustaarabu. Mwanaume ukiongea nae wakati K imelalia ndizii weeeee anakuwa mdogo zaidi ya piritoni. Wangefikia muafaka tu
 
Pamoja boss
 
Mwenye uzi HUNA AKILI.
Mwanamke kakujibu vizuri sana ila kilichomrudisha kwako kukuomba radhi ni njaa tu.
 
Huwa wanadharau hao eti vijisenti sema mshikaji nae alijichanganya sana ila kuishi na single mother lazima uwe na akili kubwa na ya tahadhari sana maana lolote linaweza tokea
Ni kweli lakini bado hajachelewa kufanya maamuzi sahihi..
 
Acha niendelee na mambo yangu ya kitoto,ada ya shule na vitu vyote vya msingi alipie baba yake mzazi
Uko sahihi kabisa mwamba, hawa watu wakati mwingine wanahitaji ukatili fulani ili akili iwarudi
 
mwanamke anayekupenda atakupa kila kitu alichonacho..kama hakutaka uwe baba yake kwa kila kitu asingeruhusu mtoto mwenye baba biological kuja kuishi nanyi hapo
 
Mimi nashangaa kwanini watu wanashindwa kuelewa hii key point, na kwanini hata alimpa jina la huyo jamaa wakati alimkataa mtoto angempa ubin wa mjomba tu
 
Akili zako mbovu sana,kisa tu unatoa huduma ndio uwe kihele hele kutoa jina kwa mtt mwenye baba yake!!!hv we unafaham uzito wa damu ya mtt wa watu???kama ni kumsomesha we somesha kwa mapenz yako tu kwa mama yake lkn siyo kuintroduce huo upuuzi wako..ipo siku baba yake angemfuata na mtalimana mapanga mchana kweupeee.
 
Mbona hii scenario haihusiani na msaada, on normal perspective huyu jamaa ameonyesha unconditional love kwa mtoto na Mwanamke tena akitaka kabisa ammiliki despite akijua si mwanae biologically who does that ?
 
Natamani niseme huyo mwanamke bado ako na ka feeling flan kwa mzazi mwenzake...

Single mother's effect
 
Ungekua wewe ndio baba wa huyo mtoto alafu ujue kuwa mtoto amepewa mwanaume mwingine ungejisikiaje??. Acha kuwa mbinafsi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…