Safi sana mwamba huyo mwanamke hajielewi. Kuna watu wamerudia shule enzi hizo shule za sekondari ni chache mpaka leo wanatumia hayo majina yasio halisi na maisha yanasonga vizuri tu sembuse jina la baba wa kambo!
Mwanamke anaejielewa alitakiwa akushuru wewe kutoa jina lako kutumika kwa mtoto asie wako sababu mwenye mtoto alishamkataa.
Mwanamke mpumbavu kaibomoa nyumba yake mwenyewe.
Mwanamke anaejielewa alitakiwa akushuru wewe kutoa jina lako kutumika kwa mtoto asie wako sababu mwenye mtoto alishamkataa.
Mwanamke mpumbavu kaibomoa nyumba yake mwenyewe.