jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Tafuta dem ambaye haja zaa wanawake waliozalishwa wengi wao hawanaga future ya maisha na pesa nyingi utakuwa unatumia kusomesha toto la mwanaume mwenzako kuliko kufanya maendeleo yako toka mwanzo ungekuwa unaishi na mwanamke ambaye haja zaa mngepiga atua kubwa ya kiuchumi unao sasa mnagombana maswala ya mtoto ambaye wewe akuusu galama ulizo tumia mpaka sasa ungekuwa unamiliki biashara au Viwanja na mashambaTayari zigo nimeshalitua ndugu yangu ,nilimuonea huruma baada ya mzazi mwenzake na ndugu wa jamaa kukataa mimba