Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Wote ni wachawi sema tu mwingine wa majini mwingine local ule wa kuroga.Habari wana JF
Mimi ndugu yenu nina makubwa ambayo yamenifika na sijui nitayatatua vipi?
Nina mke wangu nilimuoa mwaka 2015, baada ya kuishi nae miaka kama 7 sasa kuna siku juzi nipo kazini nikapokea simu kutoka kwa mdada wa kazi pale nyumbani akinitaka nirudi haraka nyumbani, bila kusita nikafanya hivyo baada ya kama lisaa nikawa nishafika nyumbani, nikamkuta mke wangu kak
Kwa sababu;
Mama alijuaje yaliyokukuta mpaka akakupa hiyo dawa?
Na wife uliporudi alijuaje umepewa dawa na badala yake naye akakupa.
Jamaa yangu,kimbilio lako ambalo ni salama ni kanisani tu tena kwa walokole pure.!
Ukienda kwa waganga utakua umewapeleka kwenye kikao cha usuluhishi na upatanisho ila sio kuyaondoa hayo madudu.