Mke wangu ni mchoyo

Mke wangu ni mchoyo

Kuna tiba maalumu ya kumtibia mtu mchoyo

Ongeza utafutaji yaani uwe na kipato cha kutosha anza kumuachia pesa ya kutosha na nunua bidhaa za vyakula anazozipenda kwa wingi hapo nyumbani na uwe unampendelea kwa kumuachia afanye hivyo yaani anajiwekea chakula kwa wingi usimchoke fanya hivyo mara kwa mara

Tafuta safari nae muende matembezi mkiona watu barabarani wanaomba omba mpe pesa atoe awape kama kuwasaidia kama sadaka

Tembea nae vituo vya yatima kutoa nae misaada

Yaani mueke mbele mbele kwenye kutoa ukifanya hivyo mara kwa mara atapunguza kama sio kuacha kabisa
Huo muda unautoa wapi.......hapo mwendo unashindlia hotelin unawaletea watt vyakula vizuri hafu unamwacha yeye ale nyama zake peke yake.
 
Kama anakufanyia hivo akipika nyama tu mtafutie siku moja mpeleke kwenywe minada ya nyama choma uumzoeshe inaweza kuwa kakulia kwenye mazingira ambayo kupata nyama ilikua changamoto kidogo
 
Sio mchoyo tu bali ni mroho pia

Watu wa hivyo kuuwa ili waachiwe manyama hayo na kupunguza mtu kwenye share ya familia ni rahisi sana

Ana chembechembe za uchawi huyo
Ataangamiza familia siku moja
Mrudishe kwao mchawi huyo [emoji23][emoji23]
Duuu unanitisha sasa
 
Kuna tiba maalumu ya kumtibia mtu mchoyo

Ongeza utafutaji yaani uwe na kipato cha kutosha anza kumuachia pesa ya kutosha na nunua bidhaa za vyakula anazozipenda kwa wingi hapo nyumbani na uwe unampendelea kwa kumuachia afanye hivyo yaani anajiwekea chakula kwa wingi usimchoke fanya hivyo mara kwa mara

Tafuta safari nae muende matembezi mkiona watu barabarani wanaomba omba mpe pesa atoe awape kama kuwasaidia kama sadaka

Tembea nae vituo vya yatima kutoa nae misaada

Yaani mueke mbele mbele kwenye kutoa ukifanya hivyo mara kwa mara atapunguza kama sio kuacha kabisa
Kwa uwezo gn nilionao?!
 
Nasoma huku NACHEKA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama namuona vile akiwa kajigubika na kufura wakati wa kula hizo finyango zake 5
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama anakufanyia hivo akipika nyama tu mtafutie siku moja mpeleke kwenywe minada ya nyama choma uumzoeshe inaweza kuwa kakulia kwenye mazingira ambayo kupata nyama ilikua changamoto kidogo
Haya Asante
 
Huo muda unautoa wapi.......hapo mwendo unashindlia hotelin unawaletea watt vyakula vizuri hafu unamwacha yeye ale nyama zake peke yake.
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom