Mke wangu ni mkorofi hatari

Mke wangu ni mkorofi hatari

Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Mpuuu kabila mjita!! pole sana mkuu hiyo siyo kabila ya kuoa. Ni kweli wanawake wa kijita wengi ni wakorofi, waongo na wachonganishi hiyo ni asili yao hawafai. Nilioa mjita nilijuta ilibidi nimkimbie nikamuachia nyumba nikaenda kuanza upya. Usipofanya uamuzi wa haraka utapata shida sana na kama siyo kupata maradhi ya moyo basi 'stroke' inakuhusu.
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee

Mwache anakutisha tu
 
Hamna ndoa hapa. Jitoe tu maisha yasonge asikutishe na uchawi. Shika imani yako kitakatifu.
 
Wewe mi kabila gani?

Nb. Nilishawatahadhalisha watu humu kitambo tu kuhusu kabila hizi za Kijita, Kikerewe na Jamii zao, hawa wanawezana wao kwa wao!
 
Kwanini uitoe roho kwa kumuhofia huyo mkorofi!? Piga chini haraka sana kabla ya mwisho wa January awe kapotea hapo maskani.
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
 
Mpeleke polisi....then mahakamani.

KOSA: Msumbufu, mchawi, anatishia
kujeruhi.

USHAHIDI: Hakuna

HUKUMU 1: Mpe talaka then mgawane mali.

HUKUMU 2: Endeleeni kuishi, na wewe anza usumbufu, anza kumroga, anza kichapo na usirudi tena hapa.
Mkuu sentensi yako ya mwisho imekaa kiroho mbaya [emoji38][emoji38]
 
Mkuu yanayokukuta ,ndiyo niliyoface mwaka 2008, shkran kwa Mungu niliwwza kukimbia nikiwa na miguu, tulikua kwenye uchumba, wajita waache tu Joy kidogo anitoe roho. Muhimu sali na Mtegemee Mungu, toka huko ulipo kama unataka maisha yako yawe marefu.
 
Mi nakushauri usimwite "mke wangu" huyo ni mjeshi wako, amekamilika katika idara zote za kuvuruga amani.

Kimbia hapo ndugu yetu tutakupoteza.
 
Ukikosea kuchagua mke rekebisha kwenye kuchagua mchepuko, mengine yatakuja taratibu.
 
We Jamaa fala sana ...Usilete habari za shetani na Mungu.... Kumtupia Tuu lawama mkeo wakati hujazungumza Shida zako.
Ukute hata Utamu humpi..
Kimoja chali...Tena chenyewe Cha sekunde imeisha unanakoroma Kama Mashini ya kusaga.
Husimami Kama mwanaume kwake Unategemea Nini.
Fala wewe
Kmmmk.

Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kuwatupia lawama wanawake ati wamebadilika wakati sisi wanaume muda mwingine Tuna Mambo ya ajabu mnooo....
Duuh matusi tena.? Huo siyo ungwana kabisa.
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Wajita ndio Tabia zao hizo
 
Mkuu kuna wanawake wa Hivyo unamfanyia Kila kitu lakini anakua mkorofi Mimi Ni shahidi kwa hili Tena Hilo Kabila... Ni asili tuu kwani hujawahi kusikia au kuona mtu mkorofi tuu bila Sababu?
Mkuu niseme tu kuna mengi katika mahusiano yako zaidi ya haya uliyoyaeleza.

Sikuhizi nimekuwa muoga kutoa kauli za hukumu kwa kusikiliza upande mmoja.

Tayari hushajua matatizo ya mkeo ni hatua nzuri kuelekea kuyatatua.

Swali ni, kwanini awe hivyo kwako??

Kwanini nafasi yako kama MWANAUME na KIONGOZI wa familia imepuuzwa mpaka mkeo kufikia kukutishia??

Umemfanya nini??

Majibu ya hayo maswali yakipatikana itakuwa rahisi kujua nini cha kufanya.


Kumbuka kile unachompa mkeo huwa kinakurudia katika namna tofauti.

Mpe mbegu atakuletea mtoto, mjali na yeye atakujali na kukupenda zaidi, mtengenezee mazingira ya kutokuheshimu na yeye atakuchukulia poa tu, mpe stress atakurudishia vita ya tatu ya dunia ndani ya nyumba.
 
Back
Top Bottom