Ndio raha ya maisha jamani sasa kuna starehe gani nyingine nzuri kuliko kugegedanaHata maofisini ni shida tu naonaga watu wanavyotaniana mpaka kushikana shanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio raha ya maisha jamani sasa kuna starehe gani nyingine nzuri kuliko kugegedanaHata maofisini ni shida tu naonaga watu wanavyotaniana mpaka kushikana shanga
Tupe heshima hetu bodaboda, nasi tunasasambua mbususu za wamama wa nyumbaniHalafu kuwa wale mke ni mama wa nyumbani lakini anatafunwa na waosha kucha, wasomba taka, waha wakopesha vyombo, kina mangi wauza duka.
Kiufupi tabia ya mtu na kujiheshimu ndio point kubwa hakuna uhusiano kabisa na kufanya biashara ya kusafiri au kuwa mama wa nyumbani.
Kabisa tena heshima yenu bodaboda na ndio mnaongoza sana kuchakata kina mama wa nyumbani. Unakuta mke na "bodaboda wake" anayemtuma mpaka sokoni kununua nyanya.Tupe heshima hetu bodaboda, nasi tunasasambua mbususu za wamama wa nyumbani
Ukimfungia atafanya kwa kuiba, lakini akiwa mikoani unakuwa na uhakika kabisa WANAICHAPA!Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,
Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
We unajua kt kinaitwa risk? Kwa huyo Vasco da Gama risk ni kubwaMwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,
Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
Ukumbuke tu kuna mazingira na marafiki yanamchango mkubwa mtu kuchepuka..Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,
Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
daahNi kweli anafata mzigo ila na sisi huwa tunamuomba atuletee mzigo ila toauti ni kuwa mzigo wake huwa anatuletea na kuondoka nao
Hujui maana ya ndoa, hao wameshakuwa mwili moja akiliwa mwanamke maana yake wanaliwa wote.Alafu ikigegedwa shida iko wapi? Mbususu sii yake kwa nini uipangie matumizi
Wote wanakuwa kwenye menu 😂Hujui maana ya ndoa, hao wameshakuwa mwili moja akiliwa mwanamke maana yake wanaliwa wote.
🥂Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,
Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
Hiyo ndio duniaKama mwanaume inabidi ujisikie aibu kutoa statement ya namna hiyo sisi graduate wa Cuba tunakuchora na kukuonea huruma jinsi mali yako inavyotafuna bila huruma na wafuatao.
1. Supplier
2. Dalali anayetafuta mzigo
3. Transporter
4. Dalali anayetafuta wateja
5. Mteja
Kila trip ambayo mkeo ataenda let's say Mbeya kufuata mahindi jua Kuna chain ya mabazazi zaidi ya wawili ambao watajisevia mzigo kiulaini achilia mbali wale ambao anawaacha mjini.
Kuchapiwa mke Kuna umiza Naibu waziri alishawahi kusema wakikumegea demu wako na wewe tafute mnyonge umegee haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume.
Wanasema wivu umuua mtu mjingaNenda nae kufunga mzigo
ni kweliWanasema wivu umuua mtu mjinga
Mshenzi ni mshenzi tu,hahitaji any excuse.....Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,
Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
kwahiyo na wewe unachapa?Mimi huwa naamin mwanamke yeyote mfanyabiashara hataka kama ni duka la kwenda nyumban na kurudi lazima achapwe maana biashara zina mambo mengi
Hata hvyo kwa dunia ya sasa kuchapiwa ni kawaida,wewe mpe elimu ya kujikinga na magonjwa tu bas inatosha