Mke wangu ni mpambanaji anafanya biashara mara nyingi anasafiri mikoani kufuata mzigo.

Mke wangu ni mpambanaji anafanya biashara mara nyingi anasafiri mikoani kufuata mzigo.

Kama mwanaume inabidi ujisikie aibu kutoa statement ya namna hiyo sisi graduate wa Cuba tunakuchora na kukuonea huruma jinsi mali yako inavyotafuna bila huruma na wafuatao.

1. Supplier
2. Dalali anayetafuta mzigo
3. Transporter
4. Dalali anayetafuta wateja
5. Mteja

Kila trip ambayo mkeo ataenda let's say Mbeya kufuata mahindi jua Kuna chain ya mabazazi zaidi ya wawili ambao watajisevia mzigo kiulaini achilia mbali wale ambao anawaacha mjini.

Kuchapiwa mke Kuna umiza Naibu waziri alishawahi kusema wakikumegea demu wako na wewe tafute mnyonge umegee haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume.
Naomba nimuunganishe na wangu
 
We unajua kt kinaitwa risk? Kwa huyo Vasco da Gama risk ni kubwa
Hiyo issue ni sawa na mtu mwenye tabia ya wizi,
Mwizi ni mwizi tu,hata akiwa na mamilioni ila akiiona elfu kumi ataiiba tu coz hiyo ni tabia yake,

Mtu anayejitambua na anayejielewa hawezi kushawishika kwa jambo au vitu ambavyo havipo kwenye mipango yake.
 
Jitathimini kwenye namna ambavyo unafeed ubongo wako taarifa,kuchakata then kutoa maamuzi nahisi Kuna sehemu waya umechubuka unagusana na fuvu la kichwa
Wewe binti toka nikukatalie kukupelekea moto,naona umekua na hasira zisizo na sababu kwangu,kajilengeshe kwa wengine,acha kujitongozesha kwangu kwa mara nyingine tena.
 
Hiyo issue ni sawa na mtu mwenye tabia ya wizi,
Mwizi ni mwizi tu,hata akiwa na mamilioni ila akiiona elfu kumi ataiiba tu coz hiyo ni tabia yake,

Mtu anayejitambua na anayejielewa hawezi kushawishika kwa jambo au vitu ambavyo havipo kwenye mipango yake.
Sawa bosi ingawa sijui jinsi yako. Yakikuta usijelalamika humu JF. Wengine tumekula chumvi nyingi tumeona mengi. Mwanamke ni kiumbe dhaifu ht vitabu vitakatifu vimeandika we Nani ushinda navyo. Kule Zenji na Uarabuni ht sokoni hawaendi. Mwanamke azurure mikoani mwenyewe we unakoroma ndanib umelaza mapumbu yako?
 
Sawa bosi ingawa sijui jinsi yako. Yakikukuta usijelalamika humu JF. Wengine tumekula chumvi nyingi tumeona mengi. Mwanamke ni kiumbe dhaifu ht vitabu vitakatifu vimeandika we Nani ushinda navyo. Kule Zenji na Uarabuni ht sokoni hawaendi. Mwanamke azurure mikoani mwenyewe we unakoroma ndanib umelaza mapumbu yako?
Kwahiyo wewe yamesha kukuta? umegongewa tayari?

Mwanamke akitaka kuchepuka hata kama atakua home tu,atakusubiri umeenda kazini kisha yeye atachepuka,sijakataa wachepukaji wapo ila na wanaojitambua wapo pia,tatizo lako wewe na mleta mada,mnawahukumu wanawake wote,kuhusu umri,mimi now nalea wajukuu tu.
 
Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,

Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
Kuna mazingira yanayohamasisha mwanamke achepuke. Hàkuna eti anajiheshimu wala nini. Ukimweka hàyo mazingira atachepuka tuu. Anayejiheshimu akikutana na mazingira yànayoruhusu kuchepuka anachepuka.
 
Katika nambo sipendi ni kutotafuna mke wa mtu.
Kuna huyu jamaa anaitwa John alioa mke wa kinyarwanda
 
Kuna mpangaji mwenzangu dereva wa maroli ya kusafirisha mizigo,, alinunua shamba eka 5 akajenga kibanda cha shambani akamtuma mkewe kwenda kusimamia kipindi cha upandaji na uvunaji. Msela karud toka mkoani kapekua simu ya mkewe kakuta amechapiwa na vijana wawili waliopewa vipande vya kazi hapo shambani.. Mshkaji alifoka sana ila naona alimsamehe nahisi aliwaza ye mwenyewe uko mikoani ana michepuko ya kutosha kutokana na kazi yake.
 
Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimfungia ndani,
Pia Mwanamke akitaka kujiheshimu,atajiheshimu tu hata kama atakua anasafiri kibiashara kama unavyodai,

Huwezi kumlinda binadamu bali kila Binadamu hujilinda yeye mwenyewe kitabia.
Hakika mkuu na mtu mzima hachungwi.
 
Hujui maana ya ndoa, hao wameshakuwa mwili moja akiliwa mwanamke maana yake wanaliwa wote.
Kwa hiyo na mume nae anakuwa kaliwa😲😲😲 ebo! Basi wanaume wengi ni rindaless theoretically speaking 🤣🤣🤣🤣🤣

Jamani mliooa mmesikia hii. U people are lindaless 🤣🤣🤣🤣
 
Umenifanya nikumbuke lunch time maofisini...
 
Hata maofisini ni shida tu naonaga watu wanavyotaniana mpaka kushikana shanga
Maofisini unakuta wanawake wanagombamba kisa mfanyakazi mwenzao, ugonvi mkubwa mpaka ofisi inatikisika lakini jamaa ana mke wake nyumbani nao pia wana waume zao.
Yaani maofisini huwa kuna 'ndoa' ambazo ni 'official' kwa hukohuko maofisini na wanafumaniana mpaka kupigana then wanaporudi majumbani jioni wanaendelea na ndoa za huko zinazotambulika kwamba ndiyo halali katika jamii, hizi za maofisini hata baadhi ya ndugu huwa wanazifahamu.
Binadamu anajichunga mwenyewe, mwenye 'ashki mshindo' hata umfungie ndani ataliwa hata na house/garden boy au ndugu zako wanaokuja kukutembelea au unaowalea hapo nyumbani kwako.
 
Back
Top Bottom