Mke wangu sitaki amiliki simu janja kamwe

Jalibu kuzama i
Umsakini na ushamba unakusumbua mkeo analiwa hadi na mateja


Kwaiyo mkuu ebu toa hitimisho,tuishi nao huku tunajua mke wangu,demu wangu analiwa daily yaani hakuna kuchorana

Ivi unajua maumivu ya kugongewa hata kama mchepuko

Naona wachangiaji wengi wanaamini kua wanawake wetu wanaliwa Haina haja ya kuwatrace

Hii ni michango ya jf au wako realistic kwenye maisha Yao majumbuni
 
Utamzuia simu janja, atapigwa na muuza genge sokoni. Hawana formula hao. Muhimu oa anayekupenda

Lamomy
Mkuu Bora muuza genge ipo siku ntapata fununu kuliko huko mtandaoni inbox kulikopigwa pasword kama radi ya sumbawanga inapiga
 
Hao wanaojifanya wanakupenda ndo hawafai wanajua kuact movie balaa,

Kwa utafiti tu zama inbox ya mtu wako unaehisi anakupenda utakuja jf kuomba ushauri
Utamzuia simu janja, atapigwa na muuza genge sokoni. Hawana formula hao. Muhimu oa anayekupenda

Lamomy
 

Kama umeoa Mwanamke maamuma au vitoto vya kale hapo Sawa.

Usipojiamini hata ungemfungia Mkeo chumbani au ungeishi naye Peponi bado ungekuwa unahisi ujingaujinga.

Mkeo akutongozwa inakuhusu nini? Yeye si Mwanamke.
Vijana mnatakiwa mpewe semina.

Haipendezi mwanaume kuwa mwoga hivyo.

Ukishamuachia Mkeo maelekezo kuwa unahitaji heshima inatosha. Kumuachia Uhuru ni sehemu ya kuonyesha unampenda na kumjali. Pia inaonyesha wewe ni Mwanaume unayejiamini.
Kama atakiuka maagizo yako unafukuza. Kisha unaoa mwingine.

Sio umgeuze mtoto wawatu mfungwa kisa kutokujiamini kwako
 
Mkuu utafiti hua hauna mwisho,hua unaanzia pale unapoishia wewe,ndomana nakinzana nawewe kimawazo

Chakukushauri tu kama unajiamini zama inbox yoyote ya mtu wako unaemjua

Najua hapa utapinga,ila kiuhalisia utafanyia hoja hii
 
Mfanye mkeo awe wa kisasa arifu! Smartphone ni basic need apate kufuatilia udaki wa kina lulu na dimondi na fashion mpya
 
Mkuu utafiti hua hauna mwisho,hua unaanzia pale unapoishia wewe,ndomana nakinzana nawewe kimawazo

Chakukushauri tu kama unajiamini zama inbox yoyote ya mtu wako unaemjua

Najua hapa utapinga,ila kiuhalisia utafanyia hoja hii

Huko wenzako tulipita Muda.

Mwanamke lazima atongozwe. Sisi wengine tukiona wake zetu hawatongozwi tunaona hatujaoa Wanawake Wazuri.

Meseji za Watu tumezisoma mpaka tumeeachana nazo, nyingine tumezijibu Sisi wenyewe na Pesa tukazila.

Mkeo lazima atongozwe Ila sio lazima achepuke. Na kama unataka Mkeo asitongozwe basi unamatatizo ya Akili na kisaikolojia.

Ila akitoka hapo ni ruhusa kuachana. Sio umbane MTU kama umemuumba wewe. ATI simpi simu kubwa. Huyo Binti labda awe Msukule wako
 
Sijazungumzia kutongozwa nazungumzia makubaliano ya uko inbox unajua

Unajaribu kueleza kuwa Mchumba au Mpenzi wako ni Malaya.
Na kama ni Malaya, sio lazima awe na smartphone.

Kama anawakubalia wengine na yupo na wewe basi jua unamatatizo makubwa,
 
Mada si
Mkuu mada si kutongozwa,nimekuuliza iv unajua iz simu zinaficha Siri ngapi za hao unaowaamini,kwangu Mimi bola aliwe na zimwi nalolijua kuliko zimwi nisilolijia abadani,maana mipango ya Sirini ni mibaya sana kuliko ya ardhini
 
Mada si

Mkuu mada si kutongozwa,nimekuuliza iv unajua iz simu zinaficha Siri ngapi za hao unaowaamini,kwangu Mimi bola aliwe na zimwi nalolijua kuliko zimwi nisilolijia abadani,maana mipango ya Sirini ni mibaya sana kuliko ya ardhini

Tatizo nililo nalo kwako ni kuwa Siri ya mwenzako inakuhusu nini wewe?

Pili, Kwa nini umzuie yeye asitumie simu janja ilhali yeye hakuzuii Kutumia simu janja yako?

Simu hazibadilishi Watu. Watu ni wale wale.
Mkeo ni yuleyule bila kujali anasimuau Hana.

Kingine, upendo ni Pamoja na kumuachia mwenzako Uhuru WA kuamua mambo anayoyapenda, kama mambo hayo yanaenda kinyume na wewe muandikie Talaka muachane Kwa Amani.
Na po huo utoto na upumbavu wa kufuatiliana na kumfanya Mkeo Msukule wako.

Yaani Mkeo asitumie Smartphone kisa Wivu na mawazo yako ya kijinga.
Hiyo akili ya wapi Mkuu
 
Unajaribu kueleza kuwa Mchumba au Mpenzi wako ni Malaya.
Na kama ni Malaya, sio lazima awe na smartphone.

Kama anawakubalia wengine na yupo na wewe basi jua unamatatizo makubwa,
Mkuu wewe ndo umejumuisha,nakupa taarifa tu iyo simu ya mtu wako inbox zinamajanga mengi ndo mana zinapigwa paswed kama alama za kumsaka mola wa peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…