max as well
Senior Member
- Sep 10, 2023
- 141
- 315
- Thread starter
-
- #81
Tatizo nililo nalo kwako ni kuwa Siri ya mwenzako inakuhusu nini wewe?
Pili, Kwa nini umzuie yeye asitumie simu janja ilhali yeye hakuzuii Kutumia simu janja yako?
Simu hazibadilishi Watu. Watu ni wale wale.
Mkeo ni yuleyule bila kujali anasimuau Hana.
Kingine, upendo ni Pamoja na kumuachia mwenzako Uhuru WA kuamua mambo anayoyapenda, kama mambo hayo yanaenda kinyume na wewe muandikie Talaka muachane Kwa Amani.
Na po huo utoto na upumbavu wa kufuatiliana na kumfanya Mkeo Msukule wako.
Yaani Mkeo asitumie Smartphone kisa Wivu na mawazo yako ya kijinga.
Hiyo akili ya wapi Mkuu
Mkuu wewe ndo umejumuisha,nakupa taarifa tu iyo simu ya mtu wako inbox zinamajanga mengi ndo mana zinapigwa paswed kama alama za kumsaka mola wa peponi
Kwaiyo unaamini mtu wako anatumika na wadau wengne sio
Labda uwe umemuumba wewe[emoji1][emoji1][emoji1]Salamu
Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98
Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk
Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu
Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa
Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi
Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox
Nawasilisha
IlishanitokeaHao wanaojifanya wanakupenda ndo hawafai wanajua kuact movie balaa,
Kwa utafiti tu zama inbox ya mtu wako unaehisi anakupenda utakuja jf kuomba ushauri
NakaziaKama wa kuliwa ni ataliwa tu, hata umfungie ndani
Ilishanitokea
Tumetoka Huko muda Sana.
Ubaya wa mtu upo moyoni mwake na sio kwenye simu.
Ni Watu wajinga wanaohangaika na kutafuta ubaya WA Wenza wao kwenye simu au material.
Watibeli tunadili na mioyo, hisia na Nafsi.
Simu inaweza kuwa Safi lakini Nafsi ya Mwenza ikawa chafu.
Nenda polepole utakuja kujiua 😂😂
😂😂😂Ilishanitokea
Uchi ni mali yake ya nini uumpangie matumizi
Kujiua kwa ajili ya mpenzi ni upumbavu uliopitilizaKwanini hua mnajipiga risasi,kujinyonga,kujiua,ku ua kama hujali matumizi
Uvae ama uuvue lakini kupost habari za ndoa yako jf ni uzuzwaSio lazima ukiandika uvae uhusika...
Nipe nafasi nisiteseke tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna hoja za msingi kuwazuia warembo kumiliki smart devices.Salamu
Katika matumizi yangu ya mitandao nimebaini kwamba wanawake wanatongozwa sana inbox na mitongozo yote wanaikubali asilimia 98
Kifupi tu mitongozo ya online inavutia sana maana inahusisha kuambatanisha vitu vingi eg,nyimbo,zawad,video nk
Mwanamke hata awe na sura ya peponi uraiani na maadili 100 ila mtandao utamnasa tu
Kama unabisha kamata simu ya mkeo,mpenzi,mchepuko mshtukize uangalie huko ulimwengu wa inbox,DM ni balaa
Kwa ushamba wangu nimeamua rasmi sitaki mke,demu,mchepuko,mpenz awe mtumiaji wa mitandao vinginevyo amiliki simu ya tochi
Ni Bora kupigiwa na muuza mkaa taarifa zake ipo siku ntazinasa tu mitaani kuliko mdau wa dm,inbox
Nawasilisha
Nipe nafasi nisiteseke tena[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hii code kama nimeielewa hiviNimeolewa tyr na kibaka mmoja hivi wa d 2
[emoji23][emoji23][emoji23] hii code kama nimeielewa hivi