Mke wangu tangu abebe ujauzito hana hisia za kimapenzi. Nateseka sana

Wanaume lazima mwelewe kubeba kiumbe tumboni si lelema mama,kuna wakati unabeba mimba inapenda kugegedana balaa kuna wakati wala huna hamu na tendo hilo kabisa hivyo msifiri wanajifanyisha haya mambo eleweni.

Mimba ya kwanza nilikuwa simpendi mume mpaka nikisikia harufu tu natapika aisee hakuna alilofanya niliona jema mimba ilijua kumkataa
Ya pili ikaja tofauti asipoonekana naweza mfata hata ofisini yani mpaka nalia akichelewa kurudi
Muda wote nataka hatariii[emoji23]
 
Ya kwangu vice versa...alikula mzgo mwanzo mwsho..ya pili sasa[emoji2][emoji2][emoji2]....yn ht hamu nae sina. Namuona km kaka yngu...hamna feeling kbsaa..akinigusa nakasirika as if nimeguswa na strranger woiii
 
Yn tunakuaga very senstive..nahis zaid ya senstive[emoji1787]
 
Ya kwangu vice versa...alikula mzgo mwanzo mwsho..ya pili sasa[emoji2][emoji2][emoji2]....yn ht hamu nae sina. Namuona km kaka yngu...hamna feeling kbsaa..akinigusa nakasirika as if nimeguswa na strranger woiii

[emoji28][emoji28][emoji28]haya mambo acha tu mtu anaweza kuhusi tunajifanyisha kumbe sio mabadiliko tu
 
Pole sana ni hormones tu zinakuwa zinamsumbua, Jitahidi uwe busy, fanya mazoezi. Usimpe stress maana ni kipindi kigumu kwake pia, ili kumlinda yeye na mtoto
 
Mkuu huu ushauri unampotosha. Michepuko kazi yake nini?
 
Hivi ukihamia kwa mchepuko nani atakaekuuliza?
 
Usinikumbushe hili jana, mie lilinikuta mapema mno maana nlioa baada ya wiki 3 tu akabeba mimba, no papuchi na ukipata mara moja kwa wiki nyieee
 
Nani kaka sasa? Nina mbususu mimi afu siye niliyeanzisha uzi sorry🤔
Neno mbususu yani linasisimua mwili,nilivyoisoma tu mbususu moyo ukalipuka paah.

Wanaposema binadamu wote ni sawa hawajakosea raha anayoipata tajiri na maskini nae anaipata.
 
Neno mbususu yani linasisimua mwili,nilivyoisoma tu mbususu moyo ukalipuka paah.

Wanaposema binadamu wote ni sawa hawajakosea raha anayoipata tajiri na maskini nae anaipata.
Hahaaa mbususu ni kiungo cha mwili kama viungo vingine mkuu😂 ni kama mikono, miguu, why usisimkwe na mbususu tu😂
 
Mi nilikuwa nafumba mdomo na pua then naachia miguu ili nisitapike lakin bado alikuwa akinikojolea tu lazima nitapike.usiombe mimba isipende harufu ya mwili wa mwanaume...hata aoge vp
Mkuu umeongea ukweli mtupu, kama mimi kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…