Mwanamke akianza kuona unaingiza pesa nyingi akianza kuwaambia wenzake tu tayari wanaweza kumtia sumu kwamba akuache apate pesa ajisimamie mwenyewe, na wanawake walivyo rahisi kubrain wash ni rahisi hasa hawa wasomi wanaoamini falsafa za miss independent boss lady mwanamke kujisimamia mwenyeweAisee kumbe haya matukio yako Real.
Najuaga ni stori za mitaani tu.
Hivi kweli inaweza kunitokea na Mimi kwa Mke wangu?
I dont Think so
Duh huyo mwanamke naye anakuwa hana akili mapaka asikilize Miss IndependentMwanamke akianza kuona unaingiza pesa nyingi akianza kuwaambia wenzake tu tayari wanaweza kumtia sumu kwamba akuache apate pesa ajisimamie mwenyewe, uchafu wa miss independent
Unaliwa timingNiliwahi kuwa na mke tuliachana 2020 akaambulia pesa milioni 40, gari, kiwanja, n.k.... wenzake walimjaza upepo wa umalkia wa nguvu / miss independent.. Iliniuma ila ilikuwa funzo. >> Jinsi jinamizi la mafanikio kiuchumi lilivyomfanya mke wangu kuwa kiburi, jeuri na hatimae ndoa kuvunjika kisa tamaa ya mali
Kwa sasa nipo na mwanamke mwengine natumia mbinu nyingine kuishi nae hata akiniona na pesa apunguze tamaa ya kukimbilia mahakamani kunipiga pasu kwa pasu (mahakama zina upendeleo wa hali ya juu sana kwa wanawake)
So far so good i cant complain,, Ni kwamba huwa namwambia nina madeni niliyowekea bondo nyumba, kiwanjaa, magari, mashamba, n.k. lengo ni yeye kujua kwamba hata akipata hizo mali ajue hataweza kuzimiliki,
, ila kuna muda hii mbinu huwa ina backfire mfano kawahi kuniambia auze shamba lake la urithi huko kwao anishaidie kupunguza marejesho, kawahi kunipa milioni 1 cash aliniambia alikuwa anazitunza kwenye helaa nazompa zinisaidie marejesho, ananiombea sana kwa kitu ambacho hakipo, Nikimnunulia kitu kizuri huwa inabidi nimbembeleze sana akipokee huwa namwambia ni kweli nadaiwa ila kwavile nampenda siwezi jibana kwake, ni sharti lazima nile nyumbni au niondoke na chakula hii kitu alipiga sana kelele migahawa inanimalizia pesa, n.k.
advantage nazopata nadhani ni Loyalty ya yeye kuweza kuishi nami huku akijua hata tukiachana anaweza asiambulie hata sahani, Kwa upande wa sex nampa 10/10 ni sehemu ambayo labda kaiona aitumie kunitolea mawazo ya madeni, mara nyingi huniomba pesa za vitu muhimu tu,She is very supportive na huwa ananipa peace of mind
Jamaa anatupiga kamba tu. Ni stori ya kunogesha group tu.Msiwege mnaoa.
Eti akaambulia milioni 40. Milioni 40 unaiona ndogo mkuu? Hata kama una hela yani mwanamke anachukua milioni 40 yako kwa sababu gani?
π π ππ jf kila mtu ni tajiri.Sasa hpa si jf mkuu unashangaa nn
Endelea kuikaza sabuni utakufa bila uzaoπ€£π€£NAKAZIA
Chai kabisa apigwe na kitu kizito kama icho afu aoe tena.Jamaa anatupiga kamba tu. Ni stori ya kunogesha group tu.
Na Mimi najua hilo mkuu namchekecha tuJamaa anatupiga kamba tu. Ni stori ya kunogesha group tu.
situmii sabuni, inachubua mb<><>Endelea kuikaza sabuni utakufa bila uzaoπ€£π€£
Kopo mia 5 tusitumii sabuni, inachubua mb<><>
natumia mafuta ya mgando BabyCare
Kuna rafiki kajitwalia jumba la bure kwa sababu ya rafiki kumficha mali mkewe na ndugu...kafa sasaFicha mali zako, narudia ficha asijue mtu yeyote binadamu kwenye mali hukosa utu
Kwaiyo kila ukirudi ni kujipongeza na kujimegea!!Kwa upande wa sex nampa 10/10 ni sehemu ambayo labda kaiona aitumie kunitolea mawazo ya madeni,
hakuna kugawana mali wala kubaniwa utamuKopo mia 5 tu
Nakazia hapa.Tulivyo waambia KATAA NDOA..... NDOA NI UTAPELI ....mkaona sisi ni wajinga [emoji23][emoji23][emoji23]
AiseeFicha mali zako, narudia ficha asijue mtu yeyote binadamu kwenye mali hukosa utu
Ndio nami nikajiuliza mpaka lini hali hiiMbona kama ni mahusiano yanayoendeshwa na uongo!
Siku dada zako wakiwa mashangazi ndio utajua chanzo ni niniTulivyo waambia KATAA NDOA..... NDOA NI UTAPELI ....mkaona sisi ni wajinga πππ