Mkeka unakuja wa kuwaondoa Mawaziri nonsense kwenye Serikali ya Samia

Mkeka unakuja wa kuwaondoa Mawaziri nonsense kwenye Serikali ya Samia

Nahama nchi ... kubugia ugoro tu kila siku, tena wa kulazimishwa. Too much nonsense😡😡😡😡😡😡
 
Salaam Wakuu,

Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.

Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.

Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.

Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.

Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?

Nani aingie kwa sababu gani?

Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.

Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.

Nonsense wote watoke Serikali

View attachment 2026760
Peleka wazimu wako chooni, kama kweli huyo Mwandosya alikuwa wa maana nchi nzima si ingekuwa na maji. Binafsi sitaki kabisa kusikia majina yanajirudia, na ikiwezekana hizi nafasi ziwe kwa weledi na uwezo, maana sijaona wa kuleta mabadiliko huko Bungeni.
 
Salaam Wakuu,

Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.

Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.

Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.

Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.

Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?

Nani aingie kwa sababu gani?

Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.

Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.

Nonsense wote watoke Serikali

View attachment 2026760
Tuambie legacy yake hata moja tu alipokuwa kwenye wizara kama waziri
 
Salaam Wakuu,

Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.

Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.

Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.

Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.

Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?

Nani aingie kwa sababu gani?

Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.

Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.

Nonsense wote watoke Serikali

View attachment 2026760
Atakayemuona KIGOGO2014
 
Salaam Wakuu,

Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.

Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.

Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.

Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.

Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?

Nani aingie kwa sababu gani?

Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.

Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.

Nonsense wote watoke Serikali

View attachment 2026760
KWA HIYO UMESHATUMWA UJE UKAMFANYIE LOBBYING? YAANI UNARECOMMEND WATU HATA MENO YOTE MDOMONI YANATIKISIKA? POOR ME!!!!
 
Anze na waziri anae zuia Mloganzila kuwa Teaching university hospital.
 
Naunga mkono Halima Mndee ateuliwe mbunge alafu apewe wizara kwani naye ni Ccm mavimv
 
Ni kama maskini kuamka dangote

Hao wateule ni sampuli ya watu Walioshiba halafu bado wana kiporo ndani

Watu kama Mwezi wa Kwanza,, hawakuanza kama mchicha,, wao walijikuta tu wameshakuwa mbuyu
 
Back
Top Bottom