Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hawamkatazi, nini maana ya kufunga mipaka sasaMkenya anayerudi kwao sidhani kama anakatazwa kuingia.....
I tell people like joto la jiwe that if Tanzania had a better testing capacity their numbers would be way higher but they no listen.Duh! Kule Tanzania japo ndugu zetu wapo kimya lakini sijui inakuaje watu wanatuibukia na virusi wakitokea huko, leo tena kuna taarifa za Mkenya aliyetokea huko amepimwa na kubainika kakibeba mazima mazima kutoka huko na kuja nacho hivi hivi....
=======================
Out of the five three are Kenyans while two are foreign nationals. Three of them had travelled; one each from Tanzania, UK and UAE.
The CS announced the government has closed some quarantine facilities such as trademark hotels.
Kenya confirms five more Covid-19 cases, total rises to 184
Mbona Kenya iko locked, hao wa Tz walipitia wapi??
Walitangaza kufunga mipaka wakaja humu kuruka ruka kama kawaida yao eti wamefunga mipaka yote,
I tell people like joto la jiwe that if Tanzania had a better testing capacity their numbers would be way higher but they no listen.
Huu ugonjwa haufichiki nashangaa sijui wana agenda gani kutulazimishia ugonjwa.Boss are we competing for big numbers or what ?
In my capacity I have never seen someone with corona Virus symptoms, yaani mamia kwa mamia ya ndugu zangu hakuna hata case1, kwa nini utulazimishie ugonjwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga ,mkenya anaruhusiwa kuingia through regional borders but lazima quarantine na prices zote za 14 daysin quarantine ni wewe utajilipiaWalitangaza kufunga mipaka wakaja humu kuruka ruka kama kawaida yao eti wamefunga mipaka yote,
Labda walikuwa wanamaanisha mipaka ya nyau 😂
Nini maana ya kufunga mipaka?Acha ujinga ,mkenya anaruhusiwa kuingia through regional borders but lazima quarantine na prices zote za 14 daysin quarantine ni wewe utajilipia
Hao maafsa wenu ambao wapo mpakani ndio wana Korona. Nendeni mkawapimeDuh! Kule Tanzania japo ndugu zetu wapo kimya lakini sijui inakuaje watu wanatuibukia na virusi wakitokea huko, leo tena kuna taarifa za Mkenya aliyetokea huko amepimwa na kubainika kakibeba mazima mazima kutoka huko na kuja nacho hivi hivi....
=======================
Out of the five three are Kenyans while two are foreign nationals. Three of them had travelled; one each from Tanzania, UK and UAE.
The CS announced the government has closed some quarantine facilities such as trademark hotels.
Kenya confirms five more Covid-19 cases, total rises to 184
Close your bordersI tell people like joto la jiwe that if Tanzania had a better testing capacity their numbers would be way higher but they no listen.
Yupo sahihi, sisi tz hatupo serious na hili gonjwa!Kipimo cha kujua nchi ipo serious kiasi gani angalia idadi ya wagonjwa wanaotajwa. Burundi hawana mipango yeyote na kuzuia Corona na ligi yao inaendelea kama kawaida ila mpaka sasa hivi wana case moja tu!Huyo mkenya alikua na corona zamani wasitusingizie sie
Duh! Kule Tanzania japo ndugu zetu wapo kimya lakini sijui inakuaje watu wanatuibukia na virusi wakitokea huko, leo tena kuna taarifa za Mkenya aliyetokea huko amepimwa na kubainika kakibeba mazima mazima kutoka huko na kuja nacho hivi hivi....
=======================
Out of the five three are Kenyans while two are foreign nationals. Three of them had travelled; one each from Tanzania, UK and UAE.
The CS announced the government has closed some quarantine facilities such as trademark hotels.
Kenya confirms five more Covid-19 cases, total rises to 184
I tell people like joto la jiwe that if Tanzania had a better testing capacity their numbers would be way higher but they no listen.