Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa

Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa

MK254, Hizo habari za wa Tz kuingia Kenya wala siziamini, i dont believe your medias when reporting abt Tz. Mnapenda kutudepict kwa habari za uongo and just negative.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo habari za wa Tz kuingia Kenya wala siziamini, i dont believe your medias when reporting abt Tz. Mnapenda kutudepict kwa habari za uongo and just negative.


Sent using Jamii Forums mobile app

Hautaziamini kama wewe huishia tu kwenye mitaa ya Dar, haujawahi kuitoka hiyo Dar.
Lakini fahamu kuna raia wa nchi zote mbili huhusiana sana kibiashara kupitia huo mpaka, kila siku hupishana kwa maelfu, hawa wanaingia, hawa wanatoka.
Sasa kirusi kimesababisha mtafaruku baada ya mpaka kufungwa ghafla.
Asilimia kubwa ya Watanzania ambao huandika humu mwisho wao ni hapo Dar, hata ukiwauliza Kenya iko wapi watakuambia Tanga.
Mtanzania ambaye hupiga biashara baina ya hizi nchi utamjua tu, wapo huandika humu na kwa uandishi au kauli zao utajua huyu ana uelewa fulani wa jinsi hizi nchi zinahusiana. Lakini pia kuna Watanzania ambao labda wamewahi kutumwa Kenya kununua kitu Nairobi, ili kuokoa pesa akatafuta gesti za bei rahisi, kisha siku moja hiyo akirudi Tanzania anaingia JF na kuanzisha uzi kuhusu Kenya.
 
Hata tukipimwa tuna hizo dawa? Je hospital na vifaa vya kutosha kuhudumia hao mamia ya wagonjwa au ndo mtaanza kulalamika upya kuhusu ubovu wa huduma za afya. Hawa wakenya hapa wanatoa stories nzuri nzuri nenda majukwaa yao halisi ukajionee hali ilivyo mbovu wanalalamika balaa
Ugonjwa wenyewe ndio hauna tiba na wengi wetu watapona wenyewe bila kufikishwa hospitalini, ila ni vyema kuwatafta wote walioambukizwa na kuwaweka kwenye isolation ile kujaribu kuzuia maambukizi zaidi kwenye communities ambapo kuna wazee wengi na watu vulnerable. Sasa na kesi zetu chache haikai big issue lakini pale maambukizi yatapindukia na kuzidi uwezo wa hospitali zetu ndipo tutaanza kumwagika kama nzi kwa kuwa kuna wale watakua wanahitaji huduma za hospitali lakini hospitali zetu hazitakua na uwezo wa kuwahudumia.hii ndo shida inazozikumba nchi za magharibi...sasa nchi zetu za afrika tuna uwezo wa kubadilisha mkondo ili tusifike hapo na hili litafanyika kwa kupima na kupima na kupima zaidi na pale ambapo patapatikana muadhirika kuwasaka close contacts wote na kuwaweka kwenye quarantine. Tuache ushabiki wa kitoto kwenye hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata tukipimwa tuna hizo dawa? Je hospital na vifaa vya kutosha kuhudumia hao mamia ya wagonjwa au ndo mtaanza kulalamika upya kuhusu ubovu wa huduma za afya. Hawa wakenya hapa wanatoa stories nzuri nzuri nenda majukwaa yao halisi ukajionee hali ilivyo mbovu wanalalamika balaa

Ni kweli dawa hazipo, ila umuhimu wa kupima ni kuhakikisha unajijua na unakwepa kuwapelekea wazee hili gonjwa, kwa akili zako hizi ina maana muambukizane tu kisa dawa hazipo, thubutu uone jinsi mtawapoteza wazee wote kama ilivyo kule Italy, wanadondoka kwa maelfu.
Ama kwa kweli shule zenu hizo zina kasoro ya kufa mtu.....kuna yule bibi FaizaFoxy huwa ana kamsemo fulani maarufu kuhusu shule zenu.
 
Napenda niwashaur tu wakenya na SEREKAL ya Kenya katika utoaji wa taarifa Yao juu wa watu walio patikana na virus vya Corona na kusema kwamba wametokea Tanzania ni Bora wangeweka wazi wametokea wap na wamepitia mpaka gani. ili kutoa mashaka ambayo baadh ya watz wamesha Anza kua nayo juu ya ripot Yao

Na vip walikua ni raia wa Kenya au watanzania ichi kitu wanatakiwa watuweke wazi ili tufaham sababu habari zingine unaweza kutoa Kama habari ya kawaida but ikawa na athar kubwa hapo baadae
Ndio tunakubal Corona ipo Tanzania na East Africa mzima tayar tuna wagonjwa Ila kwa ripot ya kila nchi ina number ambazo zimekua rikod za waathirika hatukatai Kuna watu huenda bado hawaja rikodiwa iwe Kenya au Tanzania lakini madhui ya ripot ya Kenya kusema Kuna watu wametoka Tanzania na wote wamethibitika kua na Corona huenda baadh ya watu kupelekea wakaamin kwamba Tanzania Ina mlipuko makubwa Sana wa Corona kuliko tunavyo tangaziwa na wizara husika. Na hii huenda ikapelekea Tanzania Kama sehemu hatar sababu ya mlipuko


Napenda Tena kusisitiza hao watu walio kutwa na Corona na kusadikika wametoka Tanzania wamepitia wapi na ilikuwa ni lin walitoka Tanzania kwenda Kenya kufanya nn?


Nakubal Tanzania Kuna watu wapo mitaan na huenda Wana Corona sababu Jana wazir kasema Kuna maambukiz ya ndani so huenda tunayo maambukiz tayar. Ila Kenya itoe huu utata sababu now ripot Yao itaonekana haina mazara but baadae inaweza kua shida kubwa kwa taifa letu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli dawa hazipo, ila umuhimu wa kupima ni kuhakikisha unajijua na unakwepa kuwapelekea wazee hili gonjwa, kwa akili zako hizi ina maana muambukizane tu kisa dawa hazipo, thubutu uone jinsi mtawapoteza wazee wote kama ilivyo kule Italy, wanadondoka kwa maelfu.
Ama kwa kweli shule zenu hizo zina kasoro ya kufa mtu.....kuna yule bibi FaizaFoxy huwa ana kamsemo fulani maarufu kuhusu shule zenu.
Naona mnahakikisha "kutowapelekea wazee" kwa kuua raia zenu.
 
Kwa kauli ya nchini Kenya jana imedhihirisha kitu..... Jumlisha na ile dot ya local and community transmission


Sihitaji nikufafanulie, hii ni taharuki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mamii nilikutag uje umsaidie waziri Ummy kutoa elimu kwa Watanzania, hehehe.

Badala ya wewe kutoa elimu kwenu ambako mnauana kwa curfew ya Corona zaidi ya Corona anavyowaua. Majanga!
 
Badala ya wewe kutoa elimu kwenu ambako mnauana kwa curfew ya Corona zaidi ya Corona anavyowaua. Majanga!
Hehehe mamii hapa nilitegemea uongoze, ila umeleta yale mapambano ya mapenzi baina yangu na wewe, haya......wacha nisubirie leo tumefikia wangapi maana kwetu tunapima 500 kwa siku.
 
Kama hujui nini kinafanyika, bora unyamaze wacha kujiaibisha, tangu lini ugonjwa wa mlipuko ukajificha?, kama hatupimi, kwanini wagonjwa wasijazane katika Hospitali zetu kwenda kutibiw, au hata kuumwa watanzania wenye maambukizi hawaumwi kwahiyo hawaendi Hospitals

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa uelewa wako ni finyu sana...huu ugonjwa unatofauti sana na magonjwa mengine kama malaria,typhoid etc.lakini unakalibia kufanana na mafua hivi, so sababu ambazo zinasababisha kusiwe na visa vingi vya huu ugonjwa ni ya kua hunamaumivu isipokua kupiga chafya kikohozi na fever....kwa hivyo namba inawezakua kubwa lakini watu wamenyamaza nao mwilini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hospitals zikifurika hata serilali ifiche vipi itajulikana tu, sababu wanaofanya kazi ni common wana wa nchi na wanaowapeleka wagonjwa ni common people, ingeshakuwa reported.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwafrika aende hospitali kisa mafua???? Labda wale wa Masaki.
Mimi hapa nimeumwa mafua siku tatu, tena kipindi hiki cha corona, nimeyanywea maji moto yaliyotiwa limau hadi yakanitoka.
Ingekua mzungu Ulaya, lazima angeishia hospitalini.
Asilimia 90% ya Wakenya waliogunduliwa kuwa na Corona imesemekana ni mild sana, yaani hawaumwi kihivyo, hadi serikali imesema itawaachia wakaugulie nyumbani kwao ila kwa mazingira ya kukubalika.
Wengi wao walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na waathirika wa hapo awali, serikali iliwafuata na kulazimisha wakapimwe, vinginevyo wangepona huko huko makwao ila baada ya kuendelea kuambukiza.
 
Tuongelee hapa mkuu,nyie mnaopima imekuwaje mfunge chuo na kuwatawanyisha polisi kisa mmoja kakutwa na corona,si mgewaweka quarantine hawa wengine wasiwapelekee wazee

Kiganjo Police College Closed Indefinitely:

A recruit has shown symptoms of covid-19 prompting an immediate closure of the training college. Pamba ako wapi alete full info. Naskia recruits wameambiwa kila mtu kwao. Some leaders hawafikiriangi poa. If some of these recruits have the disease, si wataambukiza watu wa kwao?
Ni kweli dawa hazipo, ila umuhimu wa kupima ni kuhakikisha unajijua na unakwepa kuwapelekea wazee hili gonjwa, kwa akili zako hizi ina maana muambukizane tu kisa dawa hazipo, thubutu uone jinsi mtawapoteza wazee wote kama ilivyo kule Italy, wanadondoka kwa maelfu.
Ama kwa kweli shule zenu hizo zina kasoro ya kufa mtu.....kuna yule bibi FaizaFoxy huwa ana kamsemo fulani maarufu kuhusu shule zenu.
 
Acha kuwa bendera fata mkumbo see here

Brenda Naliaka Mukhwan arrived in Bungoma from Nairobi on April 1, 2020 feeling unwell
She went to the Kimilili Sub-county Hospital where upon check-up, she was found to be exhibiting COVID-19 symptoms and was placed under quarantine, but escaped after a short while.

Mnalaumu mno wakati majirani kwao hali mbovu sana kutuzidi

Quarantine life blows. I saw a youtube video of a lady who was being held at Lenana school against her will, oh my. The squalid conditions at her shared dorms was beyond comprehension. May God help them coz I don't know how long a human being can last in that situation. As if that wasn't enough, the state increased the length of quarantine by another 14 days!
Ugonjwa wenyewe ndio hauna tiba na wengi wetu watapona wenyewe bila kufikishwa hospitalini, ila ni vyema kuwatafta wote walioambukizwa na kuwaweka kwenye isolation ile kujaribu kuzuia maambukizi zaidi kwenye communities ambapo kuna wazee wengi na watu vulnerable. Sasa na kesi zetu chache haikai big issue lakini pale maambukizi yatapindukia na kuzidi uwezo wa hospitali zetu ndipo tutaanza kumwagika kama nzi kwa kuwa kuna wale watakua wanahitaji huduma za hospitali lakini hospitali zetu hazitakua na uwezo wa kuwahudumia.hii ndo shida inazozikumba nchi za magharibi...sasa nchi zetu za afrika tuna uwezo wa kubadilisha mkondo ili tusifike hapo na hili litafanyika kwa kupima na kupima na kupima zaidi na pale ambapo patapatikana muadhirika kuwasaka close contacts wote na kuwaweka kwenye quarantine. Tuache ushabiki wa kitoto kwenye hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda niwashaur tu wakenya na SEREKAL ya Kenya katika utoaji wa taarifa Yao juu wa watu walio patikana na virus vya Corona na kusema kwamba wametokea Tanzania ni Bora wangeweka wazi wametokea wap na wamepitia mpaka gani. ili kutoa mashaka ambayo baadh ya watz wamesha Anza kua nayo juu ya ripot Yao

Na vip walikua ni raia wa Kenya au watanzania ichi kitu wanatakiwa watuweke wazi ili tufaham sababu habari zingine unaweza kutoa Kama habari ya kawaida but ikawa na athar kubwa hapo baadae
Ndio tunakubal Corona ipo Tanzania na East Africa mzima tayar tuna wagonjwa Ila kwa ripot ya kila nchi ina number ambazo zimekua rikod za waathirika hatukatai Kuna watu huenda bado hawaja rikodiwa iwe Kenya au Tanzania lakini madhui ya ripot ya Kenya kusema Kuna watu wametoka Tanzania na wote wamethibitika kua na Corona huenda baadh ya watu kupelekea wakaamin kwamba Tanzania Ina mlipuko makubwa Sana wa Corona kuliko tunavyo tangaziwa na wizara husika. Na hii huenda ikapelekea Tanzania Kama sehemu hatar sababu ya mlipuko


Napenda Tena kusisitiza hao watu walio kutwa na Corona na kusadikika wametoka Tanzania wamepitia wapi na ilikuwa ni lin walitoka Tanzania kwenda Kenya kufanya nn?


Nakubal Tanzania Kuna watu wapo mitaan na huenda Wana Corona sababu Jana wazir kasema Kuna maambukiz ya ndani so huenda tunayo maambukiz tayar. Ila Kenya itoe huu utata sababu now ripot Yao itaonekana haina mazara but baadae inaweza kua shida kubwa kwa taifa letu



Sent using Jamii Forums mobile app

Taarifa kama hizi zinapaswa kuombwa na mamlaka husika kutoka Tanzania na kwa kufuata taratibu zizilizopo, kwenu huko inapaswa wizara au waziri aandikie waziri wetu barua akiomba kujua hawa tunaosema wametokea Tanzania ni kina nani, walikuja lini, walipitia wapi, walitokea Tanzania wapi, na huko Tanzania walihusiana na nani na wako wapi waliohusiana nao....kwa kifupi hauwezi ukategemea serikali ya Kenya ianike taarifa kama hizi kwenye habari, zinapaswa kupokezwa kimya kimya baina yao.
 
Hivi hawa waKenya 14 waliokamawa Sirari hawana Corona kweli?
IMG_20200406_210808.jpg

The number of coronavirus cases in Kenya has risen to 184 after five more patients tested positive for COVID-19.
Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe on Thursday said the new cases include three Kenyans and two foreigners.
Three of the five patients had traveled from Tanzania while the other two arrived in the country from the UK and UAE respectively.
 
Back
Top Bottom