Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa

Mimi nna wasiwasi na uelewa viongozi wetu hapa Tz trump analalamikia WHO kwamba walichelewa kueleza dunia kuhusu hu ugonjwa ili wafunge mipaka mapema.......ila wakwetu duh sidhani hata kama wameshajua hizi model mbili mpya za kupambana na Corona zinazo tumika kwasasa dunia nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss are we competing for big numbers or what ?
In my capacity I have never seen someone with corona Virus symptoms, yaani mamia kwa mamia ya ndugu zangu hakuna hata case1, kwa nini utulazimishie ugonjwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi sijaona hata moja nawona tu kwa runinga. Huku kwetu naona tuendelee kuchangisha fedha kwa ajiri ya Corona.

Tunaambiwa Tanzania ni tajiri, tunavunja rekodi ya mapato, tumeenda kukopa na sasa tunachangishana kupambana na corona - JamiiForums
 
Acha za Trump mbona alikimbilia Japan kuwarudisha walio kuwa ktk meli ya kifahari kwa mbwembwe, akijifanya yeye ni bora zaidi Mungu leo ana waonyesha hakuna aliye juu ya mwingine Bali yeye ni Alfa na Omega
 
Hahahaha hapa ndio huwa mnanifurahisha,mnakurupukia habari msizotaka kujua vyanzo vyake ila tu kuingiza siasa. Huyo mkenya si wale waliokamatwa tarime au?kama sio kaingiaje kenya wakati mipaka ya kenya imefungwa?

Tukiongelea burundi hawana presha kama Tanzania sababu ya watu kama nyie mnaotaka kutajiwa namba kubwa kuliko uhalisia
 
Trump wanayemhurumumia si ndo huyo aliyekua anaidhihaki corona kwa kuiita chinese flu au virus. Watanzania watu wa kulalamika sana kila kitu kwao topic yaonewa onewa tu
Acha za Trump mbona alikimbilia Japan kuwarudisha walio kuwa ktk meli ya kifahari kwa mbwembwe, akijifanya yeye ni bora zaidi Mungu leo ana waonyesha hakuna aliye juu ya mwingine Bali yeye ni Alfa na Omega
 
Trump wanayemhurumumia si ndo huyo aliyekua anaidhihaki corona kwa kuiita chinese flu au virus. Watanzania watu wa kulalamika sana kila kitu kwao topic yaonewa onewa tu

Trump aliita Chinese flu, na nyie mkaiita "kaugonjwa"
 
Yeah ndo maana hadi muda huu hatujapigana hii kitu mkuu

Movement within the Nairobi Metropolitan Area is permitted except for the national curfew period of between 7pm and 5am. What is prohibited is the movement IN and OUT of the Gazetted areas for the period of 21 days effective 7.00pm tonight 6th April 2020!
Trump aliita Chinese flu, na nyie mkaiita "kaugonjwa"
 
Wakenye kila kitu wanasema chao, mlima kilimanjaro wanasema wao , samata wanasema wao, wakafika mbali kabisa kua hata ambaerruty ni wao. Si tume chuna tu

Sasa hii corona nayo walitakiwa waseme yao
 
Wakati tunaingia katika wiki ya Pasaka, ninaomba tukumbushane jambo muhimu,

SCORE BOARD

Kenya. 185 - 7 deaths
Tanzania 25 - 1death

Mechi bado ndio kwanza dakika za awali, lakini tayari kuna timu moja imeshakata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

kama umemskliza waziri wako wa afya leo, na kama una uwezo wa kudadavua mambo, basi nitakushangaa ukiandika hicho ulichokiandika hapo.
 
Boss are we competing for big numbers or what ?
In my capacity I have never seen someone with corona Virus symptoms, yaani mamia kwa mamia ya ndugu zangu hakuna hata case1, kwa nini utulazimishie ugonjwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Neither have I. I'm simply saying, Tanzania's figure is bigger than what's being reported.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…