Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Alikuwa mjamzito tena mimba kubwa , kafuata maji aje kuosha mahindi maring yakupamp wakamsaidia kisukuma, jiulize na yeye alikuwepo kwanini asimwambie ngoja nifuate maji tulia na tumbo lako hapa!Mkuu, kupotea kidogo ni lazima sababu inatoa gap ya kila mtu kutambua umuhimu wa mwenzake na kupata ladha ya kuachana inavyofanana, hii ni nzuri kwa afya ya mahusiano pale mnapoyaamsha tena. Ila, asitokee wa kufanya umalaya, esp mwanamke.
Sizani mke ambaye anajua mmewe katoka kazini anaweza fanya hivyo, ukiona hivyo ujue mmeokotana wakufanana tabia zenuJamaa karudi kazini huku akiwa amechoka.
WIFE: "umepitia kwa mahawara zako huko alafu umefika humu unajifanya umechoka"
JAMAA: "Sawa, naomba chakula nahitaji kupumzika"
WIFE; "Ungekuwa una njaa si ungewahi kurudi kawaambie mahawara zako wakupikie .
JAMAA: mbona unanijibu jeuri nitakupiga,
WIFE: "EMU NIPIGE KAMA WEWE MWANAUME KWELI".
Kuna wanawake Wana midomo michafu choo cha stand kinasubiri.
Baba mmoja halafu hakuwa anakaa mbali na kituo, kila siku akilewa anamdunda mkewe siku moja kikimbilia Kwa bwana Amos alimtandika alipotoka badala yakwenda nyumba kaongoza poriniUyo mzuri sana
Uzi ufungwe.Sasa wewe umempiga yeye kakulaza ndani, si umsamehe maisha yasonge.
Maan hata wewe pia ulikua na kosa mwanamke ukumzaa, hukumbebea mimba iweje umpige.
Kwani kwenye vikao vya wanaume hamfunzani mwanamke anapigwa na nin duh.
Rudi nyumbani achana na ushauri wa mabachela humu ambao hawajui hata mahari zinalipwaje.
Au sio? ๐นMkanda haujawahi kuua ni kama fimbo tu
Hapo anapiga mke ukute hata matunzo yanayoeleweka hakuna.!!Mimi mtu anajiona kwamba yeye ni mtakatifu huwa si mpendi ndio aina ya mtoa mada๐คจ
Hiyo ingependeza hizo bakora ampe mke amtandike mumewe ๐น๐น๐น๐๐๐๐ Kuna mkuu wakituo mmoja ilikuwa mtu akimpiga mkewe kesi ikamfikia alikuwa anatoa bakora zakutosha mpaka mwanaume anaomba poo ๐๐๐๐
Hasira zipo ndani ya mpumbavu, kukurupuka na kujifanya mbabe wa ndoa matokeo yake ananyea debe kizembe.!!Kuna mkaka alimuua mkewe tena mjamzito kaenda kuchota maji kakuta vijana ni yale maring wakamjazia kufika nyumbani kaanza kumpiga eti alikuwa na wanaume, kumbe binamu yake alipita kamuona kaenda mwambia ndugu yake mkeo yupo na vijana huu mwaka 22 yupo gerezani pamoja na mbeya wake
Kama ulikuwepo Wanaume wapigaji asilimia kubwa ni dhaifu hawana mbele wala nyuma tena wengi wao kimoko chali hasira zao wanamalizia kwenye mwili ๐Hapo anapiga mke ukute hata matunzo yanayoeleweka hakuna.!!
Midabwada ๐นKama ulikuwepo Wanaume wapigaji asilimia kubwa ni dhaifu hawana mbele wala nyuma tena wengi wao kimoko chali hasira zao wanamalizia kwenye mwili ๐
Ogopa sana Mwanaume mwenye tatizo sugu na hajui atalimaliza vipi.Midabwada ๐น
Ha ha ha ha haHiyo ingependeza hizo bakora ampe mke amtandike mumewe ๐น๐น๐น
Unamcharaza hakuna kufuta, akikwepa unaanza na moja.. mpk akasimulie wapumbavu wenzie ๐คฃ
Ha ha ha kweli wampiddyHasira zipo ndani ya mpumbavu, kukurupuka na kujifanya mbabe wa ndoa matokeo yake ananyea debe kizembe.!!
Tena wampididy shenzy zake
Hatari mnoHapo hakuna ndoa, akishaanza kupewa ushauri na mashosti ndio huwa mwanzo wa mwisho
Halafu watoto wake atawaleta kwako umsaidie kulea?Kushaulisha mashoga ndo wazazi wake,fukuza akaungane nao
Kwahiyo tuendelee kuumizwa na wanawake kwa kuogopa kutupiwa watoto?Halafu watoto wake atawaleta kwako umsaidie kulea?