Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Mkuu, kupotea kidogo ni lazima sababu inatoa gap ya kila mtu kutambua umuhimu wa mwenzake na kupata ladha ya kuachana inavyofanana, hii ni nzuri kwa afya ya mahusiano pale mnapoyaamsha tena. Ila, asitokee wa kufanya umalaya, esp mwanamke.
Alikuwa mjamzito tena mimba kubwa , kafuata maji aje kuosha mahindi maring yakupamp wakamsaidia kisukuma, jiulize na yeye alikuwepo kwanini asimwambie ngoja nifuate maji tulia na tumbo lako hapa!
 
Sizani mke ambaye anajua mmewe katoka kazini anaweza fanya hivyo, ukiona hivyo ujue mmeokotana wakufanana tabia zenu
 
Uyo mzuri sana
Baba mmoja halafu hakuwa anakaa mbali na kituo, kila siku akilewa anamdunda mkewe siku moja kikimbilia Kwa bwana Amos alimtandika alipotoka badala yakwenda nyumba kaongoza porini
 
Uzi ufungwe.
 
Eeeh, mkeo hana meno? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ mwanaune wa kupigapiga hapana aisee. Wanakujaza ujinga tu hapa. Ungempiga Kofi moja tungesema hasira, ila umevua hadi mkanda. Ulimpania mtoto wa wenyewe.
Mi huko polisi ungekimbilia wewe aisee kuchukua pf3 ukatibiwe, ningekutandika na kitu chochote.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kuna mkuu wakituo mmoja ilikuwa mtu akimpiga mkewe kesi ikamfikia alikuwa anatoa bakora zakutosha mpaka mwanaume anaomba poo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hiyo ingependeza hizo bakora ampe mke amtandike mumewe ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Unamcharaza hakuna kufuta, akikwepa unaanza na moja.. mpk akasimulie wapumbavu wenzie ๐Ÿคฃ
 
Hasira zipo ndani ya mpumbavu, kukurupuka na kujifanya mbabe wa ndoa matokeo yake ananyea debe kizembe.!!

Tena wampididy shenzy zake
 
Hapo anapiga mke ukute hata matunzo yanayoeleweka hakuna.!!
Kama ulikuwepo Wanaume wapigaji asilimia kubwa ni dhaifu hawana mbele wala nyuma tena wengi wao kimoko chali hasira zao wanamalizia kwenye mwili ๐Ÿ˜
 
Hiyo ingependeza hizo bakora ampe mke amtandike mumewe ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Unamcharaza hakuna kufuta, akikwepa unaanza na moja.. mpk akasimulie wapumbavu wenzie ๐Ÿคฃ
Ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ