Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Yeye anajiona ana haki sana, japo kampiga, wanaume baadhi niwanafiki sana, hapo utakuta ndugu zake wanamperemba aachane naye, na huenda kosa lilikuwa lake.Msamehe mke wako muendelee na maisha yenu na mlee watoto kama kawaida.
Kwanini wewe ujione una haki ya kumpiga mikanda 'hatari' alafu yeye kukushtaki uone nongwa? Angeshupalia ukae mahabusu ingekuwa ishu nyingine, lakini kitendo cha ku react haraka kufuta kesi ni wazi hata yeye alichukia ulivyo mpiga hata kama alikosea.
Wanamshika masikio wenzie wasio jielewa, tena huenda hao wanaomshauri wao wenyewe wadundwa na wake zao .Umembutua mkeo unaona sawa, kwanza ulitakiwa UFUNGWE JELA.
Tena alivyo mwema akaamua kuifuta kesi licha ya ujinga wako, bado tena unaleta GUBU!
Haya TOROKA nenda ukajifiche gesti kama ulivyoshauriwa na hao wahuni hapo juu!
Naam,niko Picnic hapa nimezungukwa na hawa wahudumu weupe weupe karibu na kwa djJera nijeraha sio picnic pale, mtu yeyote akikupeleka pale hatakama nindugu undugu uvunjwe
Mimi nakushauru urudi nyumbani kwani nyumba si wewe na mkeo tuu. Kuna wanafamilia muhimu sana wanaofànya muishi kama mume na mke.Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Jini Hilo.Atkuu na resha na Sukari.Pia kupiga mwanamke karne hii ni ushamba.Ushauri wangu.OA mke mwingine.Inasaidi akikure unaenda kwa mwingine,Akikasirika na kuleta fuja waneleteana Wenyewe fujo wewe unakuwa msuluhishi ambaye ni chanzo cha ugomviHali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Kwa hiyo utaacha na kuoaa wanawake wangapii.. Jamaa ajicontrol tuu wanawake ni watu wa kukeraa always.Jini Hilo.Atkuu na resha na Sukari.Pia kupiga mwanamke karne hii ni ushamba.Ushauri wangu.OA mke mwingine.Inasaidi akikure unaenda kwa mwingine,Akikasirika na kuleta fuja waneleteana Wenyewe fujo wewe unakuwa msuluhishi ambaye ni chanzo cha ugomvi
Si wanasema hayashauriki? Sasa leo nakushauri baba yangu mzazi aliwahi kuniambia ,mkeo ikitokea kakulaza ndani ukitoka awe kashaondoka . Na kwa scenario yako inaonekana hao mashoga zake walimpa chachandu la kutosha akajaa hana akili huyo mkeo kashikiwa na mashoga zake ,ukisamehe haraka umeisha watajiona washindi cha kufanya dengua mwanzo mwisho ,anzisha visa visa ongea maneno mazito na mashoga piga marufuku , sasa jidai ooooh baby wawoooooh im sorrrey honeeey ,Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Siyo jera, jela.Jera nijeraha sio picnic pale, mtu yeyote akikupeleka pale hatakama nindugu undugu uvunjwe
Mkuu,Mimi ninaelewa nilicoshauri.Ukiwa na mke mmoja ndo unakuwa na muda na nguvu ya kupiga Mke.Wakiwa wengi watapigana wenyewe tu.Wewe unaangalia yule ambay anakua Furaha ndio unadili nayeKwa hiyo utaacha na kuoaa wanawake wangapii.. Jamaa ajicontrol tuu wanawake ni watu wa kukeraa always.