Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Usingeandika tusingejua kiwango cha ujinga wako.
Kwahiyo baba yako kukufundisha upumbafu ndiyo akili? Badala yakukwambia hakikisha matatizo yenu yanaishia ndani! Unazani waliobuni kutenga chumba na sebule walikuwa na akili kama za baba yako? Wangekuwa hivyo ndoa zisingekuwepo. Jinga mkubwa mkubwa wewe
 
Wewe ingekuwa mi ndo huyo mkeo, ningempa na buku 10 poti akushughulikie vizuri ili ukirudi uraiani uwe raia mwema. Huna adabu, unapigaje mkeo na mkanda ukimuua??

Mwambie mkeo anitumie namba nimtumie pesa ya soda, kanifurahisha sana’aaa.!! 😹🤣
Wanamtetea eti, je mkanda huo mtu anakata roho anaanza msingizia shetani
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.

Huwezi elewa, ila hafai
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Sept nilikuwa HAPO kawe mkuu saa Tisa mpaka 10..NDUGU wakaja ntoa nkarudi home nkabadili nguo bkaelekea club

Jmosi nkajitwika club

Jpili club

Jtatu nkaenda Moshi bkazima simu mpaka 7days

Baadayahapo alinipenda gafla
 
Kwanza nikuambie,marafiki wanauzana,mkeo anauzwa na anatombwa na jamaa mmoja anaitwa Richard na waliomuunganisha ni marafiki zake hao,achana na hiyo ndoa haraka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume sikuhizi wamekuwa wasenge yaani unalazwa lock up Tena unaanza kuuliza msamaha Timua utaishije na mtu aliekuweka lock up msenge sana
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
MKUU
M NI KAMA WEWEE INFACT MJUMBE ALINIAMBIA NIWAPIGIE NDUGU NKATOKA NA POLISI TUKAENDA PUB MOJA YA MJUUMBE WAKALAMBA MOJA MOJA NIKISUBIRIA MJUMBE AJE NA BARUA YA UDHAMINI

KUFIKA BOSI ANA NYOTA MOJA AKASEMA SAME NILALE NKAMWAMBIA MKUU SIWEZI NKAHISI MAZINGIRA YA HELA

AKAJA DOGOWANGU AKAPIGA KWA SISI N INSPECT PALE MJINI AKAJA FASTER..BEFORE ALIPIGA NIKAACHIWA

AKAJA AKANIONYA ACHA KUPIGA MWANAMKE NKASEMA POA.....

AKANSHAURI NIENDE KWAKE NKAENDA KUBADILI NGUO NKAENDA KWAKE THR. CLUB

NKARUDI ASBH SLPN USIKU CLUB

AKANSHAURI NISISOGEE HOME KWA MDA

USHAURI KAA KAMA SIKU 7 NDUGU...UKIMSOGELEA ANAPIGWA TENA NA TENA

M NAKUMBUKA NI MERUDI AKANZA KUNYUMA UNYUMBA NKAONA NAMCHAPA TENA NKAONDOKA BAADA YA WIKI KADHAA NDIO NKARUDI HOME

KINGINE MWONYESHE HUKUPENDA
PISHANA NAR HUMO NDAN KAMA SEVEN DAYS KAMA MNA VYUMBA VIWILI HAMA CHUMBAN NAKWAMBIA ULE MPISHANO LAZIMA AFUNGE UMSAMEHE

BILA MUNGU NGUMU SANA
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Usichukulia poa suala hili, Wala usihadaike kabisa na machozi yake ya Mamba.

Picha alowapa Rafiki zake kukuhusu wewe, HAITAKAA kubadilika Kamwe vichwan MWAO.

Na ni wazi, Mkeo ni MPUMBAVU Hana akili, na usishangae Kila kitu Cha kwenu ndan kinajulikana Kwa rafiki zake.

Kuna moja waweza lifanya.

Rudi home ila usile ,Wala kuoga, Wala Kukuomba afue, Wala akuandalie chochote PIGA STOP na hakikisha ni STOP ya herufi kubwa ,sana sana akijisemesha mwambie SIHITAJI MATATIZO NAWEWE.( WALA USIONGEE NAYE SANA.).


Kwa Ufupi mpitishe kwenye maumivu ya kisaikolojia tu kiasi kwamba Gharama za wewe kurudi kumchekea ziwe ni juu yake yaan KUKATISHA URAFIKI NAHAO PIMBI na ASIRUDIE.KOSA LILOFANYA UKAMBUTUA.


Vyovyote vile iwavyo, Mwanamke ni lazima amuheshimj Mwanaume wake.
 
Kwahiyo bora afe wamnyongee ndani kisa atakuwa mpumbafu? Yaani kapigwa eti anatoa siri? Wewe una mama au dada yako ukute anafumuliwa halafu utampongeza mpigaji?
Mkuu unafahamu maana ya neno familia???,
 
Usichukulia poa suala hili, Wala usihadaike kabisa na machozi yake ya Mamba.

Picha alowapa Rafiki zake kukuhusu wewe, HAITAKAA kubadilika Kamwe vichwan MWAO.

Na ni wazi, Mkeo ni MPUMBAVU Hana akili, na usishangae Kila kitu Cha kwenu ndan kinajulikana Kwa rafiki zake.

Kuna moja waweza lifanya.

Rudi home ila usile ,Wala kuoga, Wala Kukuomba afue, Wala akuandalie chochote PIGA STOP na hakikisha ni STOP ya herufi kubwa ,sana sana akijisemesha mwambie SIHITAJI MATATIZO NAWEWE.( WALA USIONGEE NAYE SANA.).


Kwa Ufupi mpitishe kwenye maumivu ya kisaikolojia tu kiasi kwamba Gharama za wewe kurudi kumchekea ziwe ni juu yake yaan KUKATISHA URAFIKI NAHAO PIMBI na ASIRUDIE.KOSA LILOFANYA UKAMBUTUA.


Vyovyote vile iwavyo, Mwanamke ni lazima amuheshimj Mwanaume wake.
Kitendo cha kukaa na watu wasio sehemu ya familia kuamua kumjadili mwenza wako no matter kafanya nini wanafanya wapumbavu.
Kesho mkisolve wanaanza kuwanyoshea vidole.
 
Back
Top Bottom