Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Kweli umempiga siyo vizuri, ila kukupeleka
polisi ndiyo mbaya zaidi.

Hao mashosti ipo siku watamshauri akuwekee sumu ili ufe kabisa.

Mwanaume anipeleke polisi tunaachana hapo hapo.

Jifanye bwege mwambie aende kwao utamfuata huko, Jishauri then utaamua.
 
MKUU
M NI KAMA WEWEE INFACT MJUMBE ALINIAMBIA NIWAPIGIE NDUGU NKATOKA NA POLISI TUKAENDA PUB MOJA YA MJUUMBE WAKALAMBA MOJA MOJA NIKISUBIRIA MJUMBE AJE NA BARUA YA UDHAMINI

KUFIKA BOSI ANA NYOTA MOJA AKASEMA SAME NILALE NKAMWAMBIA MKUU SIWEZI NKAHISI MAZINGIRA YA HELA

AKAJA DOGOWANGU AKAPIGA KWA SISI N INSPECT PALE MJINI AKAJA FASTER..BEFORE ALIPIGA NIKAACHIWA

AKAJA AKANIONYA ACHA KUPIGA MWANAMKE NKASEMA POA.....

AKANSHAURI NIENDE KWAKE NKAENDA KUBADILI NGUO NKAENDA KWAKE THR. CLUB

NKARUDI ASBH SLPN USIKU CLUB

AKANSHAURI NISISOGEE HOME KWA MDA

USHAURI KAA KAMA SIKU 7 NDUGU...UKIMSOGELEA ANAPIGWA TENA NA TENA

M NAKUMBUKA NI MERUDI AKANZA KUNYUMA UNYUMBA NKAONA NAMCHAPA TENA NKAONDOKA BAADA YA WIKI KADHAA NDIO NKARUDI HOME

KINGINE MWONYESHE HUKUPENDA
PISHANA NAR HUMO NDAN KAMA SEVEN DAYS KAMA MNA VYUMBA VIWILI HAMA CHUMBAN NAKWAMBIA ULE MPISHANO LAZIMA AFUNGE UMSAMEHE

BILA MUNGU NGUMU SANA
Huu ndiyo ushauri wa mwanaume.
 
Na katika kujielewa huko kuna mzee alijielewa zaidi kuliko baba ako ndio ukapatikana
Baba yangu hasingeweza kushauri ujinga eti mkeo akikweka ndani hakikisha ameondoka nyumbani? Huyo baba yako ndiye unamwita anajielewa? Badala akwambie ukitoka usiende kwako njoo huku daa baba yako atakuwa kizazi kipya, wenzio wazee wetu walikuwa niwazee wa kutafuta ili hekima. Nenda kwa Babu yako atakufundisha jinsi yakuishi na mke Kwa baba yako umefeli pakubwa
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Nakushauri msamehe lakini usitamke wewe rudi nyumbani halagu fungal hiyo matrimonial room fanya ukatabati fungal hafi vitu kama CCTV yaani fanya mkwara sana kisha ikikamilika rudi chumbani kwako. 😄 anakwambia atakuwa na tahafhari zisizo za kawaida hapo nyumbani. Haji kurudia ujinga huo na hao wapumbavu wenzie watakuwa maadui.
 
Fukuza taka taka hiyo.

Kwenda POLICE na kukulaza lockup siyo shida maana kweli ulimpiga na haikua sahihi kumpiga

Kosa lake:
Kusikiliza ushauri wa wanawake wa nje, hiyo ni red flag Moja mbaya sana......ipo siku watamshauri jambo baya na mke wako atatekeleza, kama upo makini chunguza vizuri Kuna vitu kafanya unaona kabisa siyo yeye jua kabisa Kuna washauri wake wapo kazini
 
Kitendo cha kukaa na watu wasio sehemu ya familia kuamua kumjadili mwenza wako no matter kafanya nini wanafanya wapumbavu.
Kesho mkisolve wanaanza kuwanyoshea vidole.
Tena katika Hasira, mwanadam mpumbavu huongea mpaka take ambayo HAPASWI kuongea .

Ningekua Mimi ni Jamaa, katika kurudisha Heshima ya uanaume wangu , ningempa mwanamke Likizo ya kwenda kwao au atakapojua yeye mwenyewe Hadi pale nitakapoamua tofauti.
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Bro, yaana iko hiv, utamuacha mkeo aliye kupeleka rumande akafuta kesi kesho yake, alaf ukamchukua ambaye ukimpiga mikanda wala hatakuja kukutizama ukiozea jela, huyo kwa kitendo cha kufuta kesi ndani ya masaa 24, anakupenda sana , ila kama unavojua wanawake, shida mashost, lakin pia woote wamejaliwa madhaif hakuna mwanamke asiyedhaif,
PILI (KWA MSISITIZO) Kesi ya kulea watoto ingali baba na mama wameachana ni changamoto hakuna mfano, utayumbisha mustakabali wa watoto, najua hili hutaelewa.

Ushauri.
Mpe kaadhabu ka mwez kama wengne walivochangi, ila usimwambie ka unampa adhab, akilalamika mlengeshe kwa mashost waliompa wazo la kukupeleka lock down, sijui ni up vile.
🙏🏿
 
Baba yangu hasingeweza kushauri ujinga eti mkeo akikweka ndani hakikisha ameondoka nyumbani? Huyo baba yako ndiye unamwita anajielewa? Badala akwambie ukitoka usiende kwako njoo huku daa baba yako atakuwa kizazi kipya, wenzio wazee wetu walikuwa niwazee wa kutafuta ili hekima. Nenda kwa Babu yako atakufundisha jinsi yakuishi na mke Kwa baba yako umefeli pakubwa
Kwanza we jinsia gani kama ni mwanaume basi kuna walakini au unajikomba kwa wanawake wajinga humu wakuone mtetezi na piga ua umelelewa sana na mama wewe huna tabia za kiume kabisa kama ni mwanaume , hakuna hekima mbele ya upuuzi na kwa haya inaonekana mkeo umeolea watu wewe hebu kuwa na misimamo ya kiume wewe.
 
Kwanza we jinsia gani kama ni mwanaume basi kuna walakini au unajikomba kwa wanawake wajinga humu wakuone mtetezi na piga ua umelelewa sana na mama wewe huna tabia za kiume kabisa kama ni mwanaume , hakuna hekima mbele ya upuuzi na kwa haya inaonekana mkeo umeolea watu wewe hebu kuwa na misimamo ya kiume wewe.
Wewe endelea kutesa mkeo ukizani mjinga, ndiyo mwisho wa siku mnaanza kulalamika mke maisha yamebadilika naye kabadalika kumbe kabeba mateso ya zamani.
 
Kweli umempiga siyo vizuri, ila kukupeleka
polisi ndiyo mbaya zaidi.

Hao mashosti ipo siku watamshauri akuwekee sumu ili ufe kabisa.

Mwanaume anipeleke polisi tunaachana hapo hapo.

Jifanye bwege mwambie aende kwao utamfuata huko, Jishauri then utaamua.
Halafu wewe ni mwanamke daa kama unawake wa watoto wako watakuwa wanapata tabu sana Kwa mama mkwe wao
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
pole chief
 
Wewe endelea kutesa mkeo ukizani mjinga, ndiyo mwisho wa siku mnaanza kulalamika mke maisha yamebadilika naye kabadalika kumbe kabeba mateso ya zamani.
Aisee jitafakari wewe sana tena sanaaa mbona huna masculine ya kiume hivi? We unajua wanawake walivyo wewe? Sikufichi bwana mdogo mana kwa hiki unachokiandika humu mpaka umri wako nishaukadiria , Acha kujidai mtetezi sana wanawake wao wenyewe hawajui nini wanataka ,

Haya kama ilikua ni sawa kumpeleka mumewe polisi mbona alienda kufuta kesi unijibu hapa sasa hivi, hebu kuwa mwanaume wewe
 
Ukirudi
No 1
Oga
Kulendan HATA nususaa sio kuzuri
2.usiongee nae
3=kama unaweza kuhamia kwa mda hama
4.kama unaweza KUBADILI line ukawa na mpya kwa mda msiwasiliane kabisa Fanya hivyo
5=hakikisha unasali asbh na jioni uendakoo
6..ukirudi usimpigie simu
7.... hakikisha usinywe pombe ukiwa nae maana na...
8.ukirudi kaaa kimya PISHANA naeee YAAN HATA akusalimie kimya
9.hamia chumba kingine usikubali kulala chumba kimoja mwezi mzima HATA aje marehemuu mxazizwake
...inaendelea keshooo
 
Back
Top Bottom