Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Siku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.KAFI..RWE HUKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.KAFI..RWE HUKO
Ww ni kama nani mpaka usijibiwe, acha kuingia jf.Siku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.
Unavaa miushungi kumbe Mala..ya tuSiku nyingine ukome kuchobokea comment zangu sikutaka kukujibu ila ukirudia tena kwa mara nyingine tutakesha,Huwa sijibu Choko leo una bahati nimekujibu.
Akili yako bado Sana. Nyie ndio mnapataga kiharusi Kwa sababu ya stress za wake zenuKila lakheri mwakinyo, utakuja baini kuwa ngumi sio suluhisho ukiwa umechelewa pengine ushauwa wakati huo
Watoto, kulelewa na baba/mama wa kambo ndiyo kipengele. Ila hawa wadudu wana majibu ya hovyo, utafikiri wanafanya wanashindana kwa kero za matusi na kashfa.Yaani siku wife akifanya huo ujinga anajua kabisa ataondoka kama alivyokuja. Na sijali tumefunga ndoa au vipi, nashangaa unaomba ushauri wakati jibu liko wazi ni kipi cha kufanya
Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Sawa mtaalamu, ila ujue kiharusi kinasababishwa na mambo nje ya mke, mfano kolesto na kuganda kwa damu. Haya enenda kamdunde mkeo magumi ili uepukane na kiharusi.Akili yako bado Sana. Nyie ndio mnapataga kiharusi Kwa sababu ya stress za wake zenu
Ila sasa alikuwa na hasira ndo akafanya maamuz hayo ila badae akafuta case.Kwenye maisha yako ulishawahi kulala lupango...
Marafiki wamemshika sikio nae kakubali...
Huyu mama nimemshanga sana badala yakumkanya kijana asimpige mkewe eti mke aachweJe angemuua kwa kipigo je?.ila wanawake bhana .
Tena wahivi wanawafanyia haya wake zao mbele ya watoto, mwishowe mapenzi ya watoto yote yanahamia Kwa mama yao .Kila lakheri mwakinyo, utakuja baini kuwa ngumi sio suluhisho ukiwa umechelewa pengine ushauwa wakati huo
Kajua kutuwakilishaHuyu uchaguzi ujao tumpe mkewe uenyekiti 😹😹
Na amwambie tutamsindikiza kuchukua fomu kwa maandamano km Mbowe 🤣
Maneenah kabisa, ikitokea tena aongee na afande apate virungu vya ugoko achechemee kama mwezi hivi.Yaani hawa wangese sijui huwa wanachukulia mwili wa Mwanamke ni chuma😁😁😁
Naunga mkono hoja. Sio chini ya miezi miwili. Mpe nafasi ya kujua umuhimu wako, kama upo atapata funzo, kama haupo potelea huko huko. Ila ukirudi hakikisha unaichapa mpaka igeuke ndani nje.Nakushauri kama alivyokushauri mtu hapo juu. Rudi home beba nguo za kutosha na vitu vingine muhimu halafu potea sio chini ya mwezi. Chukua guest ya bei nafuu waombe discount kisha ishi huko bila mawasiliano nae wala kutuma matumizi
Utakuja kutushukuru baadae sana
Anajitambua Kwa lipi badala yakumkanya kijana yeye anamwagia petrol, ila kama umelea mtoto pekeyako bila baba lazima kumjaza hayo matakataka kichwani.Weee shangazi yanguu anajitambua
Na akipata wakumsaidia kumtunza mkewe asije kulia lia humu, kama hampendi humu angekuja na majibu tu nishafukuza mke 😂😂😂Naunga mkono hoja. Sio chini ya miezi miwili.
Kuna saa lazima mpitie kashkash, inawakumbusha iwapo bado mnatakana. Mahusiano yakipoa sana nayo yanaboa.Na akipata wakumsaidia kumtunza mkewe asije kulia lia humu, kama hampendi humi angekuja na majibu tu nishafukuza mke 😂😂😂