Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
msamehe tu
 
Afande alimshauri hivyo huku ana m please mke wa jamaa, na baada ya mda huwa wanawala wake zenu maana ni mlango mzuri sana wa kupitia!
Sipingi, kwenye migogoro wanawake hutuliza hasira zao na kulipa kisasi kwa njia ya kipumbavu sana
 
Hapo hakuna ndoa, akishaanza kupewa ushauri na mashosti ndio huwa mwanzo wa mwisho
Hao mashosti zake itakuwa ni wadangaji tu wa mjini wala hawajui thamani ya ndoa.
Yaani huyo anatakiwa watengane hata mwaka halafu baadae wakirudiana atakuwa amejifunza kitu hatokubali tena kufuata ushauri kwa watu wa nje
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Fukuza hiyo mbwa, la sivyo itakuletea matatizo mengi mbeleni.
 
Mpe karikizo hata miezi miwili kama nimuelewa atajifunza asipobadilika fukuzia mbali.
 
Najisikia vibaya kuona jambo la kumpiga mkeo wewe hujaliona! Na hapo ukute ugomvi wenu ulianza baada ya yeye kukuuliza masuala flani flani either yahusuyo hela ama umalaya! Unapiga mtoto ambaye hujamzaa Wala kumlea halafu kupelekaa lock up iwe nongwa? Rudi kwa mke wako, KAENI chini zungumzeni + umuhaidi hutompiga tena je ungemuua? Kuwa na utu nyokooo wewe!
 
Najisikia vibaya kuona jambo la kumpiga mkeo wewe hujaliona! Na hapo ukute ugomvi wenu ulianza baada ya yeye kukuuliza masuala flani flani either yahusuyo hela ama umalaya! Unapiga mtoto ambaye hujamzaa Wala kumlea halafu kupelekaa lock up iwe nongwa? Rudi kwa mke wako, KAENI chini zungumzeni + umuhaidi hutompiga tena je ungemuua? Kuwa na utu nyokooo wewe!
Na ndo mana mnapigwa sana sasa ushauri gani unatoa na lugha za kejeli kama izo eti nyokoo mm mtu kama ww unajibu ivo nakuzibua.
 
Mkuu leta mrejesho basi mambo yaliendaje?
Ilikua leo nipelekwe mahakamani,ila kwa sababu mlalamikaji amesema hana nia ya kuendelea na kesi na ameomba tuyazungumze wenyewe,so tuko hapa polisi kwenye dawati la jinsia sijui wanataka kutuambia nini.
 
Nakushauri kama alivyokushauri mtu hapo juu. Rudi home beba nguo za kutosha na vitu vingine muhimu halafu potea sio chini ya mwezi. Chukua guest ya bei nafuu waombe discount kisha ishi huko bila mawasiliano nae wala kutuma matumizi
Utakuja kutushukuru baadae sana
Lengo la kufanya hivi ni lipi?

Mwanamke hasa akiwa mke wa mtu sisi wanaume ndio tunavutiwa nao zaidi kwahiyo kwa kutotuma kwako matumizi usidhani kama ndio utamkomoa Bali Kuna kidume kitajitokeza kukusaidia majumukumu kwa muda utakaokuwa likizo
 
Ilikua leo nipelekwe mahakamani,ila kwa sababu mlalamikaji amesema hana nia ya kuendelea na kesi na ameomba tuyazungumze wenyewe,so tuko hapa polisi kwenye dawati la jinsia sijui wanataka kutuambia nini.
Hapo dawati la jinsia kuna police wana midomo,watawasema mpaka mzirai.
 
Ila wanaume ni viumbe wabinafsi mno, wote hawaongelei kosa la jamaa kumpiga mke wake mnaona la mke kumpeleka polisi. Mijanaume ya Tanzania imeshanomarlize Domestic violence iwe kitu cha kawaida sana.
Kaa chini na mke wako mmalize matatizo yenu sababu hawa wanaokushauri mitandaoni wengi ni mabachelor sugu hata hawajui maana ya familia ndio maana kirahisi anakwambia " piga chini" akili kichwani kwako. Na mwisho acha kumpiga mkeo looh
 
Wewe kwanini ulimpiga?
Jamaa karudi kazini huku akiwa amechoka.

WIFE: "umepitia kwa mahawara zako huko alafu umefika humu unajifanya umechoka"

JAMAA: "Sawa, naomba chakula nahitaji kupumzika"

WIFE; "Ungekuwa una njaa si ungewahi kurudi kawaambie mahawara zako wakupikie .

JAMAA: mbona unanijibu jeuri nitakupiga,

WIFE: "EMU NIPIGE KAMA WEWE MWANAUME KWELI".

Kuna wanawake Wana midomo michafu choo cha stand kinasubiri.
 
Sasa badala ya kurudi wakayamalize eti wanamshauri sijui apotee aende mwezi au miwili alaa watoto hawa wa 2000 atalipa na mabua, yeye katoa kipigo mwisho kaenda huu kwenye ndoo kati watu 30😂😂😂 arudi nyumbani tu.
Mkuu, kupotea kidogo ni lazima sababu inatoa gap ya kila mtu kutambua umuhimu wa mwenzake na kupata ladha ya kuachana inavyofanana, hii ni nzuri kwa afya ya mahusiano pale mnapoyaamsha tena. Ila, asitokee wa kufanya umalaya, esp mwanamke.
 
Back
Top Bottom