Mkeo ana bodaboda wake?

Wanaume wenzangu mjiamini kabisa wanawake Ni wavivu na wenye kupenda kutegemea tegemea kiasili .case za kuwa boda anamla wife asee Ni chache sana Mara nyingi Ni kama mzee hamna kitu bed Ila mama anataka asimuaibishe mume nayo ya kukulana kama unaakili utainua hakunaga mapenzi ya utani boda pia Ni binadamu ana wivu na anapenda utajua tu .hata sisi wanaume huwa tuna marafiki tusiowala na tunalewa nao na hatiwali .nachojua mm boda hao huwa ubaya wao ndo wakuwaunganisha mabwana na kuwapeleka michepukoni.
 
Jamaa aliharibu asee ushamba na haraka[emoji1787] ningekuwa mm tungeenda pole pole kimasihara hata miaka 5 poa tu mwisho ningekuingia..ukaniamni hadi ukawa hauna cha kuninyima.mwisho ungekuwa zaidi ya dada na rafiki
Bahati mbaya sana sina historia hiyo braza ya kuliwa na watu naoonana nao mara kwa mara km school mates, majirani nk hivyo ungekwama tu,
 
Boda boda wangu ninae nampa ATM kadi anatoa hela kwa uaminifu wote, namtuma sokoni namtuma popote, kwa kifupi bodaboda wangu ni zaidi ya ndugu yangu.
Duuhh !! Mtanifanya nianze kutamani kuwa boda boda Sasa [emoji848][emoji39][emoji39]
 
Mkuu naweza kuwa bodaboda wako? Me siyo msumbufu hata kidogo ..au bado huyo bodaboda unaendelea nae

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
ukiona mke wa mtu anatoka na bodaboda basi ujee huyo ni tabia yake tangu utoto - si ajabu hata kabla hujamuoa alikuwa antoka na shamba boy wao... na ukiona mumeo anatoka na H/girl wenu basi ujue hiyo ni tabia yake, si ajabu hata kipindi hamjaoana alikuwa anakula H/girl wao ama wa mtaani.
 
Kuna mda boss unatakiwa kurelax K ni yake, bikra hujamtoa. ukifa ukamwacha haitaziba itaendelea kutumika wakati mwingine usifikiri utakufa kabla ya umri alafu hao boda boda wake sasa watamtafuna mpaka wachinjane kwa wivu.
Umesema kweli mkuu
 
Dah,mi nna no.za boda boda kama tano hivi.Bado sijafikia hatua ya kumpa ATM card.Kuhusu kwenda sokoni dada anafanya nini hadi niingie gharama za kumtuma bodaboda.
 
Mkuu vp Ile milioni 300 umeshaitoa au bado unasikilizia tu
 
Bwana weeee, wadau wamechelewa ushauri, wengine wameniogopesha- Ngoma muda huu huu saa 8:00 kitu kimesoma : Reversed transaction.....

ngombe wa maskini......
Ahahahahah waambie wakupe hata hela ya chai angalau

Transactions za kibnk zinaenda kibabe sn,angekuwa mtu Tu amekosea nadhani hata milioni ya kufuta machozi angekupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…