Bahati mbaya sana sina historia hiyo braza ya kuliwa na watu naoonana nao mara kwa mara km school mates, majirani nk hivyo ungekwama tu,Jamaa aliharibu asee ushamba na haraka[emoji1787] ningekuwa mm tungeenda pole pole kimasihara hata miaka 5 poa tu mwisho ningekuingia..ukaniamni hadi ukawa hauna cha kuninyima.mwisho ungekuwa zaidi ya dada na rafiki
Duuhh !! Mtanifanya nianze kutamani kuwa boda boda Sasa [emoji848][emoji39][emoji39]Boda boda wangu ninae nampa ATM kadi anatoa hela kwa uaminifu wote, namtuma sokoni namtuma popote, kwa kifupi bodaboda wangu ni zaidi ya ndugu yangu.
Mkuu naweza kuwa bodaboda wako? Me siyo msumbufu hata kidogo ..au bado huyo bodaboda unaendelea naeKuna kipindi nilikuwa na boda mmoja hivi Sasa mi kikawaida huwa sipendi kumtreat mtu vibaya, lugha nzuri, samahani km nikimchukulia muda wake kunisubiri, salamu endapo tukikutana pahala nk, ikawa nikienda shopping nae nampatia chochote kwa ajili ya familia yake nk, mkewe akajifungua akanambia nikaenda msalimia na zawadi ya khanga na kitenge Sasa jamaa sijui akahisi anaweza kuboresha kutoka kuwa boda na mteja iwe mtu na hawara yake akawa anapiga simu ovyo ovyo kilichoniboa Ni simu zake za usiku ,aagrrrrrggh nilimpa onyo na karipio kali hakuwahi nitafuta tena, akafie mbele huko, mfyuuuuu
Ila sikuwahi kumuamini mtu baki yeyote kunishikia kadi ya ATM hata kwa robo saa tu ije kuwa kutoa hela!! Labda babe nae Ni kwa vile mzigo anauweka mwenyewe benki
Mimi huwa nashuka mita 100 kabla sijafika eneo la tukio. Hii mbinu inaitwa 'changanya maboya'. Mtu anaona umeshuka halafu unaanza kutembea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boda anakupeleka sehemu akishakushusha haondoki mpaka amuone uliemfata au aone unapoelekea woooi
[emoji1787][emoji1787]Acha umbea mkuuMama mwenye nyumba ana bodaboda wake anamtumaga sokoni kununua kila anachohitaji hata kusubiri kukuniwa nazi! Baba mwenye nyumba hajui hili..... itabidi nimjulishe ikibidi aje kusoma huu uzi!!
Mimi huwa nashuka mita 100 kabla sijafika eneo la tukio. Hii mbinu inaitwa 'changanya maboya'. Mtu anaona umeshuka halafu unaanza kutembea.
Haiwezekani Tena,Mkuu naweza kuwa bodaboda wako? Me siyo msumbufu hata kidogo ..au bado huyo bodaboda unaendelea nae
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Umesema kweli mkuuKuna mda boss unatakiwa kurelax K ni yake, bikra hujamtoa. ukifa ukamwacha haitaziba itaendelea kutumika wakati mwingine usifikiri utakufa kabla ya umri alafu hao boda boda wake sasa watamtafuna mpaka wachinjane kwa wivu.
Dooh basi sina bahati😄😄Haiwezekani Tena,
Mkuu vp Ile milioni 300 umeshaitoa au bado unasikilizia tuukiona mke wa mtu anatoka na bodaboda basi ujee huyo ni tabia yake tangu utoto - si ajabu hata kabla hujamuoa alikuwa antoka na shamba boy wao... na ukiona mumeo anatoka na H/girl wenu basi ujeu hiyo ni tabia yake, si ajabu hata kipindi hamjaoana alikuwa anakula H/girl wao ama wa mtaani.
Mahusiano yako na RANGO yapo vitu?Ninao km watatu hivi, Massawe, Ramso na Rango.
Bwana weeee, wadau wamechelewa ushauri, wengine wameniogopesha- Ngoma muda huu huu saa 8:00 kitu kimesoma : Reversed transaction.....Mkuu vp Ile milioni 300 umeshaitoa au bado unasikilizia tu
Ahahahahah waambie wakupe hata hela ya chai angalauBwana weeee, wadau wamechelewa ushauri, wengine wameniogopesha- Ngoma muda huu huu saa 8:00 kitu kimesoma : Reversed transaction.....
ngombe wa maskini......