The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Wanaume wenzangu mjiamini kabisa wanawake Ni wavivu na wenye kupenda kutegemea tegemea kiasili .case za kuwa boda anamla wife asee Ni chache sana Mara nyingi Ni kama mzee hamna kitu bed Ila mama anataka asimuaibishe mume nayo ya kukulana kama unaakili utainua hakunaga mapenzi ya utani boda pia Ni binadamu ana wivu na anapenda utajua tu .hata sisi wanaume huwa tuna marafiki tusiowala na tunalewa nao na hatiwali .nachojua mm boda hao huwa ubaya wao ndo wakuwaunganisha mabwana na kuwapeleka michepukoni.