Mkeo ana bodaboda wake?

Wanapenda ule mtetemo huwa unawatekenya chupi wakikaa kwa bodaboda, ndiyo maana utawaona wametanua vimiguu na kujifanya wako bize kumbe wanafurahia vibration. Hata mimi ni boda boda wa kadada kamoja hivi kamotooo.
 
Huu ndio ukweri...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa ni mimi kabisa. Mke wangu ameniheshimu sana kwa jinsi ninaishi naye na anaheshimiwa sana na wenzake huko kwa aina ya maisha anayoishi.

Tatizo watu humu wanacomplicate mambo sana.
 
Wao umbea wao ni kupeleka Kwa wamama
Wakiwa na matumaini kuna siku watapewa
I remember this.Kuna boda boda mwanza yeye alikuwa kazi yake kubeba mke wa mtu kumpeleka Guest
Yaani mwanaume anatangulia halafu anampigia boda amfate mwanamke.

Ujinga wa boda wengi akili hawana na majisifa.

Siku anamtambia mwenye mke ndo maana mke wake anatommbwa na .....

Weee mtiti mwenye mume kaona kadhalilika kaingia chimbo bodaboda yule aliliwa kiboga kitongoji kizima kilijuwa.

Ikabidi kaka wa boda anayeishi Dar amtoe Mwanza ampeleke Dar atibiwe.

Aibu sana na alikuwa na familia.
Nafikiri alishaachaga ukuwadi na umbea.
 
Mimi ninao wawili.

Wananisaidia sana hasa kama nimesahau kitu au nina dharura ninawaagizia

Bodaboda wanasaidia jamii nzima.
Walimsaidia mpaka Kikwete alipokuwa Airport akasahau simu yake akaletewe na bodaboda.



Mengine ni kama vile yanayotokea makazini nyinyi maboss wa kiume kuwalala wafanya usafi wa kike au wasambaza vyakula.
 

Pole ushaumizwa

Wengine wapo happy na wanawake zao
 
Huyo bodaboda wa wapi anafika mahali kikwete kasahau simu?
 
Sasa ndio wanaume wajue wanawake wanapenda mtu anayewajali ,wanyenyekea na kuwaonyesha upendo kidogo tu.Utakuta mwanaume uliyenae hicho kitu hakipo wanafikiri akikupa hela au gari ndio mapenzi .Waume zetu wajitafakari sana
 
Huo u Mbwa dume wako ndo upi sasa?
 
Kila mbuzi atakula kutokana na urefu wa kamba yake.

Ukiona bodaboda wanafaidi,, na wewe nunua yako uwe Boda wa mkeo,, otherwise Kaa kwa kutulia na uache boda wa mkeo wafanye kazi wajenge taifa.

Alisikika fundi Boda boda akisema
 
boda boda ni agent wa shetani kitaa, kuna demu mmoja alikuwa anakataa kutoa namba kwa msela, tukasema emu tutumie boda boda ampe zetu akimuamuru piga hizo namba nimepewa uongee nao hao yaani atucall afu tupate zake na mchongo ukatiki na demu na ukali wake akaliwa kwa zamu, nilikujaga pewa taarifa na boda mmoja kwamba analiwaga na boda wa hapo kijiweni. hadi alifumwa akiliwa njiani uchochoroni night kali.

details zote nikizitaka za watoto wote wanao kua kua viziwa chomoza na wakusoma nazipata kwa boda ule mda nacheza draft, ila pia wake za watu hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…