Mpaka uko wapi ?, nyie nani hawajui ?, yaani huwa tunaishi nanyi kwa sababu ni utaratibu tu na sheria, wanaume walio bachelor (single) huwa na good and long life, ukioa tu mwanamke ni sawa na kama umejiwekea kitanzi shingoni, unasubiri siku tu, mwanamke hana tofauti na jela ya hiari, Mama mmoja alisema Endapo Vyeti vya Ndoa vingekuwa vya ku renew kama lesen za magari haoni ni wananume wangapi wange renew, lakini pia mchungaji mmoja kule kenya aliuliza swali, Hivi Mungu akisema leo Ndoa zote nazivunja na mnaanza upya, wangapi watakuwa tayari kurudiana ?, wanawake ni chanzo cha matatizo hapa duniani, halafu kwanini umeniambia mimi mke wangu analiwa na bodaboda ?, unajisikiaje kunitusi ilihali mimi sijakusemea vibaya ?, Jiheshimu basi.