Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo chocho ukifika unasema nauli ya Bodaboda elfu 15?
Kuna bodaboda mmoja huku mtaani ni mbea hatari! Alikuwa na abiria wake Ana mdada amempangishia chumba mtaani! Bodaboda ndie alikuwa anatumiwa na jamaa kupeleka matumizi n.k! Bwana weee bodaboda c Kendamwambia mke wa jamaa full story kampeleka mpaka mpaka kwa huyo mchepuko! Story zmeenea mtaani nadhan saiv Hana wateja wengi maana ni mbeaaa[emoji2]
Kuna bodaboda mmoja huku mtaani ni mbea hatari! Alikuwa na abiria wake Ana mdada amempangishia chumba mtaani! Bodaboda ndie alikuwa anatumiwa na jamaa kupeleka matumizi n.k! Bwana weee bodaboda c Kendamwambia mke wa jamaa full story kampeleka mpaka mpaka kwa huyo mchepuko! Story zmeenea mtaani nadhan saiv Hana wateja wengi maana ni mbeaaa[emoji2]
Huyo wa chocho ndiye mwenyewe [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] anakufahamu A-zMi ninao bodaboda wangu watatu, mmoja wa kunipeleka chocho zangu huyu sio mmbea, mwingine kwa ajili ya kumuagiza tu na wa 3 ni wa dharura ikitokea hao wawili wako mbali
Jamaa aliharibu asee ushamba na haraka[emoji1787] ningekuwa mm tungeenda pole pole kimasihara hata miaka 5 poa tu mwisho ningekuingia..ukaniamni hadi ukawa hauna cha kuninyima.mwisho ungekuwa zaidi ya dada na rafikiKuna kipindi nilikuwa na boda mmoja hivi Sasa mi kikawaida huwa sipendi kumtreat mtu vibaya, lugha nzuri, samahani km nikimchukulia muda wake kunisubiri, salamu endapo tukikutana pahala nk, ikawa nikienda shopping nae nampatia chochote kwa ajili ya familia yake nk, mkewe akajifungua akanambia nikaenda msalimia na zawadi ya khanga na kitenge Sasa jamaa sijui akahisi anaweza kuboresha kutoka kuwa boda na mteja iwe mtu na hawara yake akawa anapiga simu ovyo ovyo kilichoniboa Ni simu zake za usiku ,aagrrrrrggh nilimpa onyo na karipio kali hakuwahi nitafuta tena, akafie mbele huko, mfyuuuuu
Ila sikuwahi kumuamini mtu baki yeyote kunishikia kadi ya ATM hata kwa robo saa tu ije kuwa kutoa hela!! Labda babe nae Ni kwa vile mzigo anauweka mwenyewe benki
😂😂😂😂😂😂😂Hii kitu niliacha baada ya kugundua bodaboda wangu ni chawa wa mr
Huyo wa chocho ndiye mwenyewe [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] anakufahamu A-z
Hii kitu niliacha baada ya kugundua bodaboda wangu ni chawa wa mr
Acha umbea mkuuMama mwenye nyumba ana bodaboda wake anamtumaga sokoni kununua kila anachohitaji hata kusubiri kukuniwa nazi! Baba mwenye nyumba hajui hili..... itabidi nimjulishe ikibidi aje kusoma huu uzi!!
Mimi bodaboda WANGU[emoji1787] nilipewa namba na baby, sababu yeye alikuwa anaishi maeneo haya kabla yangu ila sasa hivi yeye akipiga simu inaweza isipokewe but mimi lazima apokee na hata kama kashalala anaamka. Huwa inamuuma sana.
All in all ni kijana mwaminifu sana japo sijafika level za kumpa ATM card mtu yeyote yule.