Siwapendi Bodaboda kwa Umbea wao,uzushi,na Uzandiki!akikuzoe kidogo tu utasikia anawatangazia watu wewe Ni wake,akikupeleka sehemu akirudi kijiweni kayabwaga,yaani mifreezer Yao mibovu haigandishi!
Sitaki mazoea na bodaboda kwa Maana ukionyesha ukaribu nae tu anahisi unamtaka,Basi simu za hovyohovyo zinaanza ukimuuliza unasemaje eti nakusalimia, STUPID.
Kuhusu kumsubiria mtu Hadi aoge Ni ujinga na udhaifu wao tu,hamna hata mtu anatembea nao hao,wao Ni wazuri kwenye kutuharibia wadada wetu wa kazi.chunguza Sana hao bodaboda wangu huwa wanatembea na housegirl wa hiyo nyumba
Binafsi nikihitaji boda ni mwendo wa Bolt tu cheap,safe na faster,